cc12 JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 1,018 Reaction score 397 Jul 15, 2016 #1 Nauza Toyata IPSUM PICNIC Haijatembea kilomita Nying sana Bei 9.5 Maelewano yapo ipo Dodoma 0765 860 437 NOTE Gari haina cha Udalali ni kutoka kwenye Mali
Nauza Toyata IPSUM PICNIC Haijatembea kilomita Nying sana Bei 9.5 Maelewano yapo ipo Dodoma 0765 860 437 NOTE Gari haina cha Udalali ni kutoka kwenye Mali
NI MTAZAMO TU JF-Expert Member Joined Feb 20, 2014 Posts 1,203 Reaction score 1,001 Jul 15, 2016 #2 Asante kwa taarifa, Ngoja watakuja mkuu
Mulimila dole JF-Expert Member Joined Jul 15, 2016 Posts 226 Reaction score 267 Jul 16, 2016 #3 Umesema haijatembea sana sema km ngapi? Weka basi na specifications zingine pia Watu tunaitamani
Frank Wanjiru JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 24,742 Reaction score 44,199 Jul 16, 2016 #4 Vipi 7ml. inalipa?
Karimu123 JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 243 Reaction score 114 Jul 16, 2016 #5 Frank Wanjiru said: Vipi 7ml. inalipa? Click to expand... pga simu mkuu tuongee biashara kaka
cc12 JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 1,018 Reaction score 397 Jul 16, 2016 Thread starter #6 Frank Wanjiru said: Vipi 7ml. inalipa? Click to expand... piga simu kaka tuongee biashara kaka
MU-ARSENAL JF-Expert Member Joined Sep 21, 2012 Posts 956 Reaction score 597 Jul 16, 2016 #7 Mate yananitoka daah
cc12 JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 1,018 Reaction score 397 Jul 17, 2016 Thread starter #8 MU-ARSENAL said: Mate yananitoka daah Click to expand... jichange uchukue kasafiri mkuu
cc12 JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 1,018 Reaction score 397 Jul 17, 2016 Thread starter #9 mashine kwa ndani iko hivi wakuu Attachments 13730735_1066028553474323_828435334_o.jpg 61.7 KB · Views: 67 13699507_1066028566807655_1877119993_o.jpg 76.3 KB · Views: 64 13730735_1066028553474323_828435334_o.jpg 61.7 KB · Views: 61 13714405_1065996966810815_634312403_n.jpg 19 KB · Views: 63
Makuku Rey JF-Expert Member Joined Dec 31, 2013 Posts 3,670 Reaction score 4,256 Jul 17, 2016 #10 nmekatamani!
cc12 JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 1,018 Reaction score 397 Jul 17, 2016 Thread starter #11 Makuku Rey said: nmekatamani! Click to expand... tuonge biashara mku
Countrywide JF-Expert Member Joined Mar 2, 2015 Posts 21,356 Reaction score 33,898 Jul 17, 2016 #12 ipo mkoa gani?
stephot JF-Expert Member Joined Mar 1, 2012 Posts 17,745 Reaction score 27,223 Jul 17, 2016 #13 Naipenda sana,nilishawahi kuwa nayo.
cc12 JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 1,018 Reaction score 397 Jul 18, 2016 Thread starter #14 Countrywide said: ipo mkoa gani? Click to expand... iko Dodoma mkuu
Konda wa bodaboda JF-Expert Member Joined Jul 18, 2014 Posts 7,981 Reaction score 4,174 Jul 18, 2016 #15 Gari imetulia sana. Nikupe 6.5?
cc12 JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 1,018 Reaction score 397 Jul 18, 2016 Thread starter #16 Konda wa bodaboda said: Gari imetulia sana. Nikupe 6.5? Click to expand... Piga simu mkuu tuonge