Natafuta mashine mpya ya kukamua alizeti.

Natafuta mashine mpya ya kukamua alizeti.

WENYELE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,467
Reaction score
1,565
Wakuu naomba kujuzwa bei ya mashine mpya ya kichina ya kukamua alizeti yenye uwezo wa tani 1-5 au zaidi kwa siku.Je bei yake ni ngapi kwa maeneo ya Arusha au Mwanza?
 
Kuna Nile Machinery wapo Ubungo external. Au Sido.
 
Back
Top Bottom