Vitu vya ndani kwa mkopo

Vitu vya ndani kwa mkopo

Deleted_account

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2008
Posts
3,385
Reaction score
3,704
Habari zenu wadau, wapi mtu anaweza kupata vitu vya ndani kama TV na Fridge kwa mkopo wa kulipa kwa miezi 3,4 hadi 6?
-mfanyakazi sekta binafsi hivyo mdhamini uwe mwajiri na mkataba wake.
 
walau ungesema mfanyakazi wa serikali ingawa hii tumbua tumbua nawe kufukuzwa nje nje KWANZA KWANINI UKOPE VITU
tena luxury? ukitaka raha pay cash tv zpo mpaka elfu 50 kwa mafundi KULA KULINGANA NA KAMBA YAKO EBO
 
Kama ndio unaanza life achana na hiyo kitu,dunduliza kile unachokipata then jitahidi kusave kiasi flani kwa mwezi utajikuta hapo ndani pamejaa TV nzuri,fridge Kali,music system na kila aina ukitakacho ila kua mvumilivu tu.Usipende sana kukopa pia usiige maisha ya mtu mwingine,live you're life.....kila la kheri.
 
Back
Top Bottom