Habari wadau, nafanya kazi ya kutoa magari bandarini na mizigo ya airport kwa Gharama nafuu kabisa
Pia natoa ushauri kwa wanaotaka kuagiza au jambo lolote kuhusu Export au Import,
kwa maeleza...
Kiwanja kipo Goba mjini mita 300 kutoka stand njia ni nzri ya kufika hadi kwenye kiwanja, ukubwa 40 kwa 50 bei yake 35ml.maongezi kidogo yapo ukihitaji Maelezo zaid au kuja kukiona wasiliana nami...
DALALI MWANZA
kwa mahitaji yako ya nyumba za kupanga.viwanja.magari.nyumba za kununua.mafundi wazuri na wachoraji wa ramani wazuri
usiache kunifollow instagram na facebook dalalimwanza...
Kwa wakazi wa Dodoma mjini karibuni KAIZER FASHION barabara ya 10 mjipatie pamba kali kwa bei poa jumla na rejareja Nguo za watu wa jinsia na wa umri wote zinapatika. Kwa mawasiliao zaidi contact...
Habari za mchana wadau natumaini mpo poa... jaman naitaji king'amuzi cha azam TV kilichotumika wadau mwenye nacho naomba tuwasiliane kwa namba 0658038038... niko Dar
Ninahitaji msaada kwa anayefanya biashara ya Used computers naomba uniambie kama unahusika nazo Jumla au rejareja. nitakucheki inbox. au kwa email: ymollel@gmail.com
Salaam
Nakusudia kuanzisha kiwanda kidogo cha usindikaji nafaka. Ila sifahamu sana kuhusu ubora wa electric motors
Yaani sijui brand ipi ni durable, affordable and perfect for the project...
Nauza shamba lipo Morogoro, Maeneo ya Kiegea, Bwawa la kihonda kwa bei rahisi..kutoka Msamvu dk 40 kwa pikipiki unaweza kuchimba kisima Tuwasiliana kwa namba hii 0716792692 Asanteni
[emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245]
Habari ya Muda huu mpendwa.
Niko nauza dagaa wa mwanza kwa bei...
Shamba la heka 4 linauzwa kwa mil 5, lipo mlandizi mwisho kisha unaingia km 1 kwenda kwenye kijiji cha ngeta. Mawasiliano 0713626494 & 0767626494 karibuni sana.
Kiwanja kipo mbezi beach tangi bovu chui street karibu na shule ya jk nyerer kina hati halali na square mita 495 na bei yake ni 80m
Piga simu kma unahitaji kukiona kwa ukaguzi na upewe docmnt...
Habari familia!.. Kama kichwa cha habari kilivyoeleza ningependa kujua bei za mazao sokoni na watu pekee wanaojua ni madalali nipo moro nimelima nyanya na mazao mengine tofauti... Naomba kama kuna...
bandugu
nina emergence ambaya sina alternative
naomba kama kuna mtu anaweza kuniazima laki nne nitarudisha laki tano ndani ya mwezi mmojha
mimi ni mwajiriwa, kama kuna dhamana yoyote naweza...
Habari za Asubuhi wadau
Kutokana na dhamira ya rais wa nchi kuhamia Dodoma, kutaambatana na fursa kibao za uwekezeji kwenye ardhi.
Kwa walioko Dodoma tunaomba kujua bei ya viwanja vya makazi...
Simu inauzwa iko Dsm..
Simu ni used pia ina macover mawili.. (nakupa makava yote)
Specifications
Ina LTE (4G)
16GB internal memory
2GB ram
Megapixel 13 Rear Camera
Megapixel 5 front...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.