Wakuu naombeni msaada wa haraka niko Zanzibar nataka kununua gari nina 10M,mwenyeji wangu kanipeleka showrooms kama 5 hivi na gari nayotaka ni kati ya hizo tajwa carina ti,si,ba mark ii,.Ipi nzuri...
Kwa wale wote wanaopenda wallet za kisasa kabsa karibun tunauza wallet bei zetu ni nzur na tunadeliver kwa Mteja akihitaji,, pia tunatuma na mkoan..... Karibun nyote
Ninaomba mtu yoyote mwenye uelewa na Bundle pricing hasa ya University offer aniletee bei zao Na pia List ya Vyuo walivyoanza navyo itakua vizuri zaidi. Pia siyo mbaya ukaniambia mema na mabaya...
Maker : TOYOTA
Name : ALPHARD
Mileage : 140,000 km
Engine size : 2,360 cc
Transmission : Automatic
Drive : 2WD
Color : GRAY
Steering : right
Manufactured year/month : 2004/4
Door : 5...
Nauza na kufix Accessories za Pc
Screen za Laptop
Battry za Laptop
Adopters za Laptop
Keyboards za Laptop
HDD za Desktop na Laptops
Ram memory
Pc repair & Maintenance
Windows & Softwares Install...
KABATI LINA SEHEMU TATU .NGUO(KULIA), VYOMBO(KUSHOTO) NA STOCK YA VYAKULA (CHINI).LIPO KIMARA MWISHO, BEI NI TSH 500,000/-(LAKI TANO TU).UNAWEZA LIPA KWA AWAMU MBILI NDANI YA SIKU 30. SIMU:0713-039875
Wakuu ninauza shamba liko maeneo ya Pongwe Tanga. Eneo linaukubwa wa eka 1.5, linafaa kwa makazi, huduma ya maji ipo, bei ni 3500000/=. Kwa maelezo zaid tunaweza kuwasiliana 0762007596
Ni simu toka vetnamu aina ya samsung galaxy j7 ni mpya ina 16gb kamera ya nyuma 13 ya mbel 5 bei yake 380000.
Risti ipo na box lake lenye ime namba yake imenunuliwa mobile plaza tar.16 june 2016...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.