Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wadau, nafanya kazi ya kutoa magari bandarini na mizigo ya airport kwa Gharama nafuu kabisa Pia natoa ushauri kwa wanaotaka kuagiza au jambo lolote kuhusu Export au Import, kwa maeleza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiwanja kipo Goba mjini mita 300 kutoka stand njia ni nzri ya kufika hadi kwenye kiwanja, ukubwa 40 kwa 50 bei yake 35ml.maongezi kidogo yapo ukihitaji Maelezo zaid au kuja kukiona wasiliana nami...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
DALALI MWANZA kwa mahitaji yako ya nyumba za kupanga.viwanja.magari.nyumba za kununua.mafundi wazuri na wachoraji wa ramani wazuri usiache kunifollow instagram na facebook dalalimwanza...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa wakazi wa Dodoma mjini karibuni KAIZER FASHION barabara ya 10 mjipatie pamba kali kwa bei poa jumla na rejareja Nguo za watu wa jinsia na wa umri wote zinapatika. Kwa mawasiliao zaidi contact...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za mchana wadau natumaini mpo poa... jaman naitaji king'amuzi cha azam TV kilichotumika wadau mwenye nacho naomba tuwasiliane kwa namba 0658038038... niko Dar
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa mashati ya kiume mazuri ya mtumba grade one bei ni 15000..
1 Reactions
20 Replies
9K Views
Naombeni kujua kwa wale waliobahatika kutumia hiki kinywaji kinafanya kazi vyema?
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Ninahitaji msaada kwa anayefanya biashara ya Used computers naomba uniambie kama unahusika nazo Jumla au rejareja. nitakucheki inbox. au kwa email: ymollel@gmail.com
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tupo barabara ya 10 Dodoma mjini mkabala na rambo store. Karibuni sana wandugu O767291786 au0688 au 0688939892
0 Reactions
0 Replies
572 Views
Salaam Nakusudia kuanzisha kiwanda kidogo cha usindikaji nafaka. Ila sifahamu sana kuhusu ubora wa electric motors Yaani sijui brand ipi ni durable, affordable and perfect for the project...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza shamba lipo Morogoro, Maeneo ya Kiegea, Bwawa la kihonda kwa bei rahisi..kutoka Msamvu dk 40 kwa pikipiki unaweza kuchimba kisima Tuwasiliana kwa namba hii 0716792692 Asanteni
0 Reactions
17 Replies
7K Views
[emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] Habari ya Muda huu mpendwa. Niko nauza dagaa wa mwanza kwa bei...
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Kwa yeyote mwenye tatizo la simu iliyofungwa kwa Google account na icloud leta simu ifunguliwe ndiyo ulipe bei zetu ni nafuu
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Nahitaji dushi, dekoda au king'amuzi cha bei chee. Azam, Zuku au yale Euro Star itakuwa poa. Nipo dar. Karibu PM
0 Reactions
0 Replies
699 Views
Shamba la heka 4 linauzwa kwa mil 5, lipo mlandizi mwisho kisha unaingia km 1 kwenda kwenye kijiji cha ngeta. Mawasiliano 0713626494 & 0767626494 karibuni sana.
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Kiwanja kipo mbezi beach tangi bovu chui street karibu na shule ya jk nyerer kina hati halali na square mita 495 na bei yake ni 80m Piga simu kma unahitaji kukiona kwa ukaguzi na upewe docmnt...
0 Reactions
1 Replies
937 Views
Habari familia!.. Kama kichwa cha habari kilivyoeleza ningependa kujua bei za mazao sokoni na watu pekee wanaojua ni madalali nipo moro nimelima nyanya na mazao mengine tofauti... Naomba kama kuna...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
bandugu nina emergence ambaya sina alternative naomba kama kuna mtu anaweza kuniazima laki nne nitarudisha laki tano ndani ya mwezi mmojha mimi ni mwajiriwa, kama kuna dhamana yoyote naweza...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Habari za Asubuhi wadau Kutokana na dhamira ya rais wa nchi kuhamia Dodoma, kutaambatana na fursa kibao za uwekezeji kwenye ardhi. Kwa walioko Dodoma tunaomba kujua bei ya viwanja vya makazi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Simu inauzwa iko Dsm.. Simu ni used pia ina macover mawili.. (nakupa makava yote) Specifications Ina LTE (4G) 16GB internal memory 2GB ram Megapixel 13 Rear Camera Megapixel 5 front...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom