Ni wapi nitapata viazi aina ya Karroti?

Ni wapi nitapata viazi aina ya Karroti?

Inamonga

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2016
Posts
779
Reaction score
476
Habari wataalam wa kilimo na mifugo,
Naomba msaada ni wapi ntapata mbegu za viazi vitamu aina ya karrot?
 
Sio kila jambo unachangia waweza kaa kimya.kuna viazi vina rangi ndani kama karoti.ndio vikapewa jina karoka.nenda gairo.kitete .berege.vinapatikana
vile wanavyosem wanatengenezea dawa za ARV?
 
Huu uzi ni wa Kisenge. (Ngoja leo nipigwe ban). Haiwezekani mchangiaji anafafanua 'Kisayansi' kuwa karoti ni kitu kingine alafu nyie mna mnyanyapaa. Mleta mada ulipaswa kuwa specifik kuwa una maanisha viazi vile vyenye rangi ya karoti na sio hizi karoti za vitamin A.
 
KIONGOZI
Christian moshi
Unashida ipi kwenye mahindi?? Je ni agronomy yake, au aina ya mbegu za kutumia kwa ukanda ulipo, au tayari umelima mahindi sasa yana shida au ni vip, karibu ufafanue vizuri
 
Kwa lugha ya kiingereza, Viazi vyenye rangi ya karoti hitwa Orange fleshed sweet potato kifupi OFS.
UNAPATAJE
Nenda taasisi ya utafiti Kilimo Kibaha au Mikocheni (Minazi) Dar es salaam watakushauri unapataje mbegu. Kama uko kusini mwa tanzania Mtwara Lindi nenda Kituo cha naliendele, Kama upo kanda ya ziwa nenda ukiriguru mwanza. majibu yote yapo maendeo hayo.
 
Kaka unahitaji vyenye gamba gani, jeupe au jekundu? Na upo mkoa gan?
 
Kama uko Pwani, Nenda Kituo cha utafiti Kibaha, kamuone mtafiti mkuu anaitwa Dr. Kido Mtunda. Amebobea kwenye maeneo hayo, atakusaidia.
 
Back
Top Bottom