Ukubwa ni 20 kwa 20 kwa kila kimoja bei ni mil 10 kwa kila kimoja maongezi yapo kiwanja kipo tambalale vyote vipo sehemu moja...Vinaangaliana na barabara ya mtaa.....Umeme upo hapohapo karibu na...
Hello Jf ,
Waweza niita.@ecarstanzania au MAGARI7
New member wa jf.
Kwa mnaohitaji magari.mazuri na kwa bei rahisi kabisa yenye ubora wa hali ya juu "Pm" or "e-mail" Me
ecarstanzania@gmail.com
Salama wandugu, ninasambaza trey tupo za mayai katika mikoa y Kilimanjaro na Arusha kwa kuanzia, bei poa sana, kwa anayehitaji ani PM nimletee Mara moja.
A fully furnished 3bedroom appartment with kitchen living room balcony gym and swimming pool outside plus security is for sell at masaki seaview along Toure drive Oceanview, the appartment is in...
Haya jamani gari hio hapo leo nimeweza kuupload picha bado mpya kama mnavyoona
Million 35 tu nicheki 0625979620 au kwa wale wa whatsapp wanichek kwa hii 0719628839
Gari ina plate ya C bado mpya...
Nauza hii simu yangu. Imetumika kwa wiki tatu tu. Haina tatizo lolote. Haina mchubuko na ina kila kitu chake pia ina glass protector.
Ni Iphone 5C, 16gb.
Bei: 550,000 Tshs
Mawasiliano: 0657...
Hi all, an international NGO with offices in Dar inataka kukodisha mini iPads 13 haraka kwa ajili ya data collection (not later than 11th July). Kama unazo piga 0763140247. Rates and all else...
eka mbili kila eka milioni mbili.eneo zuri kwa kilimo cha umwagiliaji.au ufugaji wa samaki maana chanzo cha maji huakika.udongo mfinyanzi hauitaji kujengea bwawa
kwa muhitaji ani pm
Ndugu wote na marafiki na wasio marafiki wenye tatizo la mdomo kutoa harufu mbaya ninawaarifu kuwa sasa nina dawa sahihi huhitaji nikutumishie kwenye basi, kila kitu ntakachokuelekeza unacho hapo...
Wadau naiko maeneo ya mbezi beach huku nahitaji kwenda massage iliyo maeneo ya huku..kama kuna mtu yoyote anayejua massage iliyo huku anitajie na mahali ilipo:israel:
Kama kichwa kinavyoeleza, tunauza frame zenye mapambo mbalimabali, kwa bei rahisi, kazi hizi zote ni za mkono, kwa mawasiliano piga + 255 713555991/+255 776555991
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.