CHIEF MGALULA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,193
- 912
Wadau Habari, Naomba Mwenye Taarifa Za Mashamba Ya Kukodi Kwa Ajili Ya Kilimo Huku Maeneo Ya Bagamoyo.Likiwa Karibu Na Mto Au Lenye Uhakika Wa Maji Na Ardhi Yenye Rutuba Itakuwa Vizuri.Nahitaji Kwa Ajili Ya Kilimo Cha Mbogamboga Na Wakati Wa Mvua Nyingi Nipande Mpunga!!
Tuwasiliane Kwa Namba 0715488421
Tuwasiliane Kwa Namba 0715488421