Mwandishi wa research huyu hapa

Mwandishi wa research huyu hapa

Erick Nyoni

Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
7
Reaction score
1
Samahani sikumaanisha kuwafanyia watu reasech ila tunatoa ushauri jinsi ya kufanya reseach na kufundisha namna ya kufanya reseach.

Mawasiliano ni 0737226429,0654004377.
 
kwa wote anbao wanashida katika reseach zao au wanahitaji kuandikiwa kutokana na kubanwa na mambo mengi basi kuna mtaalam mwenye uzoefu wa muda mrefu na tayari amewaandikia watu wengi na zikakubaliwa nasuperviser wao.wahi sasa ili uwe wa kwanza katika huduma hiyo.Tupo DSM/karume mataa wa shaurimoyo.mawasiliano ni 0737226429,0654004377.
Nyie ni kiwanda cha wasomi feki. Research ni moja ya kigezo cha mtu kuonesha umahiri wake katika kutumia elimu aliyopata na namna anavyoweza kutatua changamoto katika jamii. Sasa wewe unapomuandikia kisha yeye ku-present kwa Supervisor au audience huoni kuwa ni sawa na kumfanyia mtihani?. Watu kama nyie mnafaa kuchukuliwa hatua
 
Mna leseni? Mnalipa kodi? Mmesajiliwa? Bila shaka ni big NO. Nyie ndio majipu, taarifa imefika , keep waiting.
 
Eric hujisikii vibaya kufanya haya ufanyayo?

Acha kutumia usomi wako kuharibu jamii
 
Watu kama Erick Nyoni ni hatari sana kwenye jamii. Unawezaje kukana ulichoandika mwenyewe? Badili basi na kichwa cha habari. Hivi unaposema nanukuu"wanaohitaji kuandikiwa kutokana na kubanwa na mambo mengi" ni sawa na kusema unatoa ushauri? na kisha ukamalizia kwa kusema nanukuu "na tayari amewaandikia watu wengi na zikakubaliwa na supervisor wao" Hivi kuandikiwa ina maana moja na kutoa ushauri? Acha kuhadaa umma wewe unatenda jambo la kuiangamiza jamii huna tofauti na muuza unga
 
Back
Top Bottom