Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Napenda kuwafahamisha kwamba sasa hivi mimi ni Wakala wa Bima. Ninatoa huduma za Bima kwa wateja na mali zao. Huduma ninazozitoa ni kwaajili ya kinga ya majanga yafuatayo; Ajali za Magari...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wana bodi..nauliza kwa mtu yoyote mwenye ufahamu mahali Dar ambapo naweza pata hizo boards na bei yake ipoje according kwa dimensions wanazouza i.e hizi na board za mdf zenye finishing kama...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari wana bodi Nahitaji mtu wa uhakika ambaye atakuwa ananiletea kuku wa kienyeji kutoka Singida. Awe na uwezo wa kuleta kuku wa kienyeji 80 - 100 kwa wiki. Mtu ambaye yupo Singida na anaweza...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Imeingia 2016 June. Nitwangie 0768210990 CC1500 Mwaka 2005 .Bei 9.5m
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau naitaji kujua bei ya soya na soko lilipo yaani location ya hilo soko Natanguliza shukurani
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nyumba imejengwa kisasa zaid -> master 1 ->single rooms 3 ->sitting room kubwa ya kisasa ->public toilet 1 ->full gypsum ->huduma muhimu zinapatkana kwa ukaribu ->0656 698232
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wale watumiaji wa wallets za leather,, wadada kwa wakaka wahi sana tumefungua mzigo mpya kabsa,, wallets ni pure leather follow@bestleatherwallets @bestleatherwallets,, account yetu ya...
0 Reactions
0 Replies
708 Views
Habarini ndugu wana JF ,viwanja viwili vinauzwa vipo maeneo tofauti kimoja kipo mbezi lois na kingine kipo kifuru vyote vipo katika eneo ambalo gari linafika bila shida yeyote na ni tambalale...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
deal closed shukran
0 Reactions
4 Replies
898 Views
Nauza Huawei P7 dual SIM cards(Microsim and Nanosim) SIM 1 ina support had 4G,Ram 2gb,internal 16gb,real camera 13MP,front camera 8MP,White color..nimeitumia kwa muda mfupi na bado ipo na box...
0 Reactions
6 Replies
44K Views
Ni kampuni yenye uzoefu katika kutoa huduma zifuatazo:- 1. Usafi wa maofisini, majumbani na maeneo mengineyo. 2. Huduma ya vibarua wa muda mfupi na muda mrefu. 3. Usambazaji wa vifaa vya maofisini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Model: 43LF540T Full HD TV (with resolution of 1920 x 1080) Multi System: NTSC, PAL, SECAMLED Backlight display technology LG’s triple XD video processing engine inside Smart Energy Saving...
1 Reactions
1 Replies
879 Views
Tanzania tunakoelekea ndiyo sahihi?
0 Reactions
3 Replies
638 Views
Habari wana jf,nimeangalia katika website ya Enhence Auto Japan nimeliona gari aiana ya Mitsubish FTO nataka kulinunua na gharama zake ni shillingi $1850 FOB + CIF+insurance je vipi wadau...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Naomba kujuzwa bei ya trei moja la mayai kwenye maduka ya jumla
0 Reactions
11 Replies
7K Views
wanaoifahamu vyema hii gari nipeni mawazo na usahuri pia uzoefu wenu hasa kwa matumizi ya hapa Dar na kusafiri nayo mikoani je inafaa na matunzo yake ni vipi ili idumu? Naombeni ushauri na mawazo...
0 Reactions
33 Replies
6K Views
nahitaji iPhone5 bajeti yangu ni laki4 tutawasiliana kwy whatsapp +255687957988
0 Reactions
7 Replies
744 Views
nitafute 0759173016,0658173016....1.6
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Salaam, Kwa wale wauzaji wa magari kutoka kwenye show rooms gari inahitajika Harrier New Mdel CBA-ACU 30/35W cc 2360. Isiwe imetengenezwa kabla ya 2004. Gharama ya gari isizidi 21 M tafadhari...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kutokana na kuongezeka umuhimu kwa Jiji LA Tanga nimeamua kuwekeza huko kwa kufanya ujenzi wa nnyumba ila nimetaadharishwa kuwa migogoro ya viwanja ni mingi sana kutona na watumishi wa idara ya...
0 Reactions
2 Replies
788 Views
Back
Top Bottom