Wakuu tukutane hapa tujuzane nyumba aka gheto hasa kwa sisi vijana ipi inafaa kujengwa kutegemea hasa maisha yalivyo,, mwenye raman nzurii naomba msaada hasa vyumba 3-4
Ndg zangu, mi nimenunua baadhi ya vifaa vya music kama mixer, buster mic za wire les, lakini cna sehemu ya kuhifadhia vifaa hivyo, nimeambiwa kuna kifaa kinaitwa rake ndicho kinachotumika...
Habari Ndugu, Noo Entertainment ni kampuni iliyosajiliwa hapa tanzania na Kupewa kibali cha kutengeneza Movie za kitanzania na music video za aina zote!
tunapatikana njia panda ya segerea Dar es...
Habari Ndugu, Noo Entertainment ni kampuni iliyosajiliwa hapa tanzania na Kupewa kibali cha kutengeneza Movie za kitanzania na music video za aina zote! tunapatikana njia panda ya segerea Dar es...
Ina chumba kimoja,sitting room na choo cha ndani
Ipo kigamboni kisiwani kwa Steven
Maji yapo 24/7
Kodi tsh 150,000 kuanzia miezi3
Mawasiliano
0744613695
Salaam wadau...nauza Toyota Crown Athlete toleo la mwisho:
-Mwaka 2007 Nov
-Full sensors
-Mirror sensor lights
-Push start buttons
-7 gears
-CD and TV
-HDD music storage
-Moving front lights
-18...
3bedrooms-1master, sitting room, kitchen, dinning and washroom.
Iko na fance.
Iko na maji- drilled well.
Iko paved.
Unaweza park hata gari kumi.
Eneo ni Sqm 900.
Ipo chanika karibu na...
Nyumba za bei nafuu zinauzwa maeneo ya Mbagala Chamazi. Bei inaazia 20M mpaka 45M. Ni umbali wa 2Km kutoka barabara kuu ya kuelekea Azam complex. Gari inafika mpaka eneo la nyumba Umeme, Maji...
Plot inauzwa mbweni ubungo 601 square meter
Plot ina hati imepimwa
Maji na umeme upo
Karibu na shule
Bei mil 40 maongezi yapo
0714787795 kwa mawasiliano au pm.
Jamani natafuta mtu anayeuza Marine board ambazo ni used . Au mtu anayekodisha Marine board kwa ajili ya slab. Mimi najenga maeneo ya Wazo na ninahitaji haraka. Kwa mwenye kujua zaidi naomba...
Tecno h6 mbili znauzwa.. Moja nzima moja inauzwa kama spare, imekufa display na volume button imetoka... Muuzaj yupo dodoma.. Bei ya zote ni 185000....
If you are in the search of a hospital information system, we’d be happy to do an in-person demo or run a virtual one.
Karibuni sana.
patientcarehis@gmail.com
0718045059
Price is negotiable...
Heshima kwenu brothers and sisters
Nyumba ya familia inapangishwa yombo vituka nyuma ya airport.. Maarufu kama Jet lumo ( kwa jimy " woodland pub") 3km from jk nyerere airport and 11 km from city...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.