Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu tukutane hapa tujuzane nyumba aka gheto hasa kwa sisi vijana ipi inafaa kujengwa kutegemea hasa maisha yalivyo,, mwenye raman nzurii naomba msaada hasa vyumba 3-4
1 Reactions
5 Replies
946 Views
Ndg zangu, mi nimenunua baadhi ya vifaa vya music kama mixer, buster mic za wire les, lakini cna sehemu ya kuhifadhia vifaa hivyo, nimeambiwa kuna kifaa kinaitwa rake ndicho kinachotumika...
0 Reactions
0 Replies
647 Views
Habari Ndugu, Noo Entertainment ni kampuni iliyosajiliwa hapa tanzania na Kupewa kibali cha kutengeneza Movie za kitanzania na music video za aina zote! tunapatikana njia panda ya segerea Dar es...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Ndugu, Noo Entertainment ni kampuni iliyosajiliwa hapa tanzania na Kupewa kibali cha kutengeneza Movie za kitanzania na music video za aina zote! tunapatikana njia panda ya segerea Dar es...
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Ina chumba kimoja,sitting room na choo cha ndani Ipo kigamboni kisiwani kwa Steven Maji yapo 24/7 Kodi tsh 150,000 kuanzia miezi3 Mawasiliano 0744613695
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Salaam wadau...nauza Toyota Crown Athlete toleo la mwisho: -Mwaka 2007 Nov -Full sensors -Mirror sensor lights -Push start buttons -7 gears -CD and TV -HDD music storage -Moving front lights -18...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nauza laptop.. Dell PP33L .. Hdd 146GB, ram 2gb, processor 2.7ghz dual- core.Wi-Fi, chaji masaa 3, ina webcam na fingerprint ingawa sina software zake. Bei Ni sh. 280,000 .. Nipo Posta...
0 Reactions
1 Replies
982 Views
3bedrooms-1master, sitting room, kitchen, dinning and washroom. Iko na fance. Iko na maji- drilled well. Iko paved. Unaweza park hata gari kumi. Eneo ni Sqm 900. Ipo chanika karibu na...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
New model spacio kwa ?bei nzuri Zipo tatu zote katika hali nzuri
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Nyumba za bei nafuu zinauzwa maeneo ya Mbagala Chamazi. Bei inaazia 20M mpaka 45M. Ni umbali wa 2Km kutoka barabara kuu ya kuelekea Azam complex. Gari inafika mpaka eneo la nyumba Umeme, Maji...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
New lenovo tab Size 7 inch Resolution 1024*600 pixel Processor 1.2ghz Ram 1gb Camera Sim card Betre capacity 3500mAh Bluetooth WiFi Betre 9hrs 195000 tu 0712191251
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ninauza HTC 620 kwa 290,000 Mwenye kuhitaji anipm
0 Reactions
0 Replies
544 Views
Plot inauzwa mbweni ubungo 601 square meter Plot ina hati imepimwa Maji na umeme upo Karibu na shule Bei mil 40 maongezi yapo 0714787795 kwa mawasiliano au pm.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani natafuta mtu anayeuza Marine board ambazo ni used . Au mtu anayekodisha Marine board kwa ajili ya slab. Mimi najenga maeneo ya Wazo na ninahitaji haraka. Kwa mwenye kujua zaidi naomba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tecno h6 mbili znauzwa.. Moja nzima moja inauzwa kama spare, imekufa display na volume button imetoka... Muuzaj yupo dodoma.. Bei ya zote ni 185000....
1 Reactions
0 Replies
664 Views
natafuta mdada mwenye kujua majukumu take na kupenda WATOTO,Nina WATOTO watatu na nipo morogoro
0 Reactions
3 Replies
1K Views
If you are in the search of a hospital information system, we’d be happy to do an in-person demo or run a virtual one. Karibuni sana. patientcarehis@gmail.com 0718045059 Price is negotiable...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Heshima kwenu brothers and sisters Nyumba ya familia inapangishwa yombo vituka nyuma ya airport.. Maarufu kama Jet lumo ( kwa jimy " woodland pub") 3km from jk nyerere airport and 11 km from city...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom