Kama kichwa kinavyojieleza ndugu nahitaji lap top medium isiwe real min au kubwa iwe size ya kati. Ikiwa ya acer itakuwa nzuri zaidi. Specifications ianzie 2.5 RAM na hard disk kuanzia 300.
Kwa...
Wadau nahitaji kuezeka kibanda changu lakini mpka sasa nimeshindwa kujua ni kampuni zipi ninunue mabati,maana nikipita nyumba nyingi naona mabati yamepauka sana na yamewekwa juzi juzi tu...
Wadau,
Nakodisha Noah kwa shughuli za harusi,sherehe na safari mbalimbali (sio kwa daladala), ipo katika hali nzuri sana. Bei maelewano,
Tuwasilianie : 0675-205760
Kiwanja kinauzwa kipo ruvu kwa zoka kina ukubwa wa hatua 35 kwa 20, kinatosha kujenga servant's quarter.... Kuna umeme, shule, hospital na soko.. Pia ni karibu na barabara. Bei ni 4mil maelewano yapo
HABARI WAKUUUU NAUZA SUBWOOFER MPYAAA AINA YA SEA PIANO SP-1002,zina redio ya fm,sehemu ya memory card na sehemu ya flash disk.Subwoofer hizi ni kubwa na zina mdundo wa ukweli.BEI NI...
iPhone 5s White 16gb
Brand New
580000/=
iPhone 5s Gold 16gb
_New condition phone with a charger cabble
560000/=
*iPhone 5s Black 16gb
_Mint condition, phone with a charger cabble_
550000/=...
Solar System au Backup za umeme TUNAFUNGA kwa gharama nafuu. Mifumo yetu ni ya technologia ya kisasa iliyoboreshwa zaidi.
NB: Gharama zinatofautiana kulingana na mahitaji ya mteja ndio mana...
Solar System au Backup za umeme TUNAFUNGA kwa gharama nafuu. Mifumo yetu ni ya technologia ya kisasa iliyoboreshwa zaidi.
NB: Gharama zinatofautiana kulingana na mahitaji ya mteja ndio mana...
Jmk Royal Services
Dealer wa vifaa vya ujenzi,yakiwemo mabati,tiles,wanakuletea
Mabati ya msouth(IT5),(Migongo mipana)
Mabati ya mikunjo(Versatile)
Mabati migongo modogo(corrugated) ya rangi na...
Mutual Developers Limited (MDL) is a consortium made up of highly motivated, experienced and successful professionals whose dedication to excellence is the hallmark of MDLs objective of becoming...
Kwa wale wenye ujuz Wa packaging and labelling, naomba tuwasiliane,pia kama unafahamu sehemu nitakayo pata msaada huo,anpatie mawasiliano namba yangu ni;0755302433
Habari wanajf
Karibuni pilipili nliyoipika na kuiandaa katk mazingira safi kisha kua packed ktk vifungashio salama kwa afya ya mlaji...ni inaradha nzur na inatumika kulika katika chakula chochote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.