Habari za leo?
Kuna viwanja viwili vyenye ukubwa wa futi 50X80,umbali ni kama dakika 25 kutembea kwa mguu toka kituo cha daladala Pongwe,dakika 8 kwa bodaboda(malipo ni elfu moja)
Mnunuzi...
Habar zetu wakuu ninashida na mkopo ya mil moja, dhamana yangu ni vyeti vya shule kuanzia sekondari hadi Chuo kikuu, marejesho nitarejesha asilimia kumi kila mwenz na nitarejesha ndani ya miez...
karibuni sana katika jambo hili jambo la kipekee hapa nchini kwetu na duniani kwa ujumla
Nalo ni ICHARITY CLUB. Icharity club ni club kama club ya riadha,club ya mazingira,club ya mpira...
Brand new
Year: 2015
Model: 49LF540T
Features
HD 1920 X 1080 resolution
Active noise reduction
Triple XD engine
Real cinema 24p
Digital tuner
HDMI 2
USB 1
Price: 1,600,000
Contact: 0713086602
MKUTANO WA AFYA YA JAMII KUHUSU MATUMIZI SAHIHI YA DAWA NA VIPODOZI
(AFYA, DAWA, UZURI, UREMBO NA VIPODOZI)
AGENDA
MAMBO YA MSINGI ILI KUWA NA AFYA NJEMA
KUWA NA UZURI NA UREMBO...
Habari wanajamvi,naomba msaada wa kupata mashine ya kutengenezea bisi iliyokwisha tumika (used PopCorn Mashine) kama itakuw mpya basi iwe kwa gharama nafuu,Shukrani.
Shamba lipo mikumi njia ya kwenda kilosa, Lina ukubwa wa heka 20 linapakana na mto ni sehemu nzuri kwa kilimo cha umwagiliaji,ufugaji wanyama hata kufuga samaki.
muhitaji WA kweli nitamuuzia kwa...
Husika na mada tajwa hapo juu,natafuta Gari ya mark x namba kuanzia c bajeti Yangu 12m,nakupa 9m cash unakaa na kadi mwisho wa mwezi namalizia 3m iliyobaki
Rashid Mohamed nimemaliza kozi ya famasia mwaka mmoja, natafuta MTU wa kufanya nae kazi ya kuuza DUKA LA MADAWA , bei ni maelewano, contact 0714669596, Niko temeke
Pata nguo za watoto na wadada pamoja na viatu vya watoto kwa 5000/= kila nguo na kiatu
Tazama baadhi ya picha
Tuwasiliane 0654796047
WhatsApp 0789893610
Do you want your product viewed by potentially 12,000 people everyday? Advertise with us for as as low as Tsh 800. contact us for more information. PM for information.
Viwanja vinauzwa,kimoja changu kiko vikindu 50ft kwa 100ft bei m5,na kingine cha rafiki yangu kiko vianzi 20m kwa 30m bei 4m kwa atakayehitaji 0654879476 thaman ya ardhi inapanda kila siku...
kipo Ubungo makoka maeneo yajulikanayo kwa jina la uluguruni. Ni sehemu iliyo inuka na ni eneo zuri kwa makazi. ni takribani kilomita 1.5 kutoka kwa mzee wa upako na na mita 500 kutoka shule ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.