Popote inakopatikana nitashukuru. Nimesema uarabuni kwa kuwa Japan haya magari hakuna yaliyotumika. Europe Kama yapo na unaijua kampuni inayoaminika tafadhali nitonye.sawa ,,,lakini kwa nini unataka toka za uarabuni tuu?
Unajua kuwa uarabuni nchi zote wanatumia left hand, au unataka hizo hizo?Popote inakopatikana nitashukuru. Nimesema uarabuni kwa kuwa Japan haya magari hakuna yaliyotumika. Europe Kama yapo na unaijua kampuni inayoaminika tafadhali nitonye.
Toa namba yako ya simu utapata hiyo gari mapema tuWapendwa wanajamvi, ninaomba Kama kuna mwenye kujua kampuni huko Uarabuni za kuuza magari yaliyotumika. Ninatafuta used landcruiser ambulance. Ningependa kufanya biashara na kampuni zinazoaminika. Asanteni sana.
Mpigie huyu Bwana SHUAIB, ni mtu mzuri sana na muaminifu. +971555063499Wapendwa wanajamvi, ninaomba Kama kuna mwenye kujua kampuni huko Uarabuni za kuuza magari yaliyotumika. Ninatafuta used landcruiser ambulance. Ningependa kufanya biashara na kampuni zinazoaminika. Asanteni sana.
Huyu anagonga kiingereza? Kiarabu sikiwezi!Mpigie huyu Bwana SHUAIB, ni mtu mzuri sana na muaminifu. +971555063499
He is a very good English speakers, he owns for car show rooms at Adeer.Huyu anagonga kiingereza? Kiarabu sikiwezi!
Nimesikia kuna magari yaliyotumika ya kijapan yanapatikana huko. Hayo pia ni left hand?Unajua kuwa uarabuni nchi zote wanatumia left hand, au unataka hizo hizo?
Okay mkuu. Nitampigia na ninashukuru sana. Je show room yake iko online ?He is a very good English speakers, he owns for car show rooms at Adeer.
He will send you all the pictures of the vehicles .Okay mkuu. Nitampigia na ninashukuru sana. Je show room yake iko online ?
That'll be great. But pictures only may not be enough to create a trust. Do you know people who have worked with him and receive their cars bila usumbufu?He will send you all the pictures of the vehicles .
Belgium zipo za kumwaga ukiwa hujapata nitakupa contacts zaoWapendwa wanajamvi, ninaomba Kama kuna mwenye kujua kampuni huko Uarabuni za kuuza magari yaliyotumika. Ninatafuta used landcruiser ambulance. Ningependa kufanya biashara na kampuni zinazoaminika. Asanteni sana.
Bado sijapata ndugu yangu. Nimeona online na niliwasiliana na hiyo kampuni lakini niliogopa kuendelea nao kwa sababu ya trust. Naomba nipatie contacts.Belgium zipo za kumwaga ukiwa hujapata nitakupa contacts zao
Ni pm maana siwezi kuku pmBado sijapata ndugu yangu. Nimeona online na niliwasiliana na hiyo kampuni lakini niliogopa kuendelea nao kwa sababu ya trust. Naomba nipatie contacts.