Natafuta web designer

Natafuta web designer

ukabu

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2011
Posts
212
Reaction score
68
Habari naitwa Msua nipo mwanza natafta MTU amna kampuni inayoweza kufanya kazi ya kudesign website kwa utaalamu wa hali ya juuu pia awe na uwezo wa kutumia php database kwa kifupi ni hayo kwa anayejua anichek 0759212578
Narudia tena professional designer
 
Kuna kampuni kama DUDUMIZI na SYSTEMAX jaribu ku google utapata details
 
Database ya php co...anyway utapata hyo kaz rahis sana cku hiz
 
idodoe.co.tz ndiyo wanajwa, wemetengeneza ya millardayo.com na samisago.com , na mm niliongea nawo wakat nataka wanitengenezee app, just wapo vzur
 
Itafute dudumizi au digital Age Tanzania, wako vizuri
 
Back
Top Bottom