Kwa atakae hitaji kiwanja kwa ajili ya Biashara, kuweka frem za maduka, nyumba ya kuishi au nyumba ya Biashara(Appartment). Kiwanja kilicho pimwa na kina hati, chenye ukubwa wa 60-60 Meters. Kipo...
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza,
Natafuta kiwanja maeneo hayo,
Kiwanja kiwe kimepimwa,kiwe na hati ya serikali.
Ukubwa kuanzia sq mtrs 1000 na kuendelea.
Kiwe tambarare kabisa.
Kiwe...
Hizi ndio bei za uchimbaji kisima kutoka Tawa Water Proffesional
1: Shillingi elfu sitini kwa mita (60000 tsh) moja...hapo tunakuwekea bomba (pvc) pamoja na pampu. Hiyo bei ni kwa maeneo...
Eneo jipya lipo karibu na uwanja wa Azam. Kuna nyumba vyumba vi4. Viwili self contained, siting room, Jiko, uwanja mkubwa na mabanda yakufugia kuku hata elf3.Eneo lote limewekewa fence. Kuna...
Hello Everyone
Are you in any of the following sectors?
*Power
*Property
*Health Care
*Education
*Agribusiness and more (etc)
Do you have a profit making organization/company? Are you looking...
Habari zenu wote?
Mafundi bomba(plumbers) wanapatikana ni mafundi wenye elimu na uzoefu wa kutosha kwenye fani hiyo.
Endapo unahitaji kufanyiwa michoro na kuwekewa mfumo wa maji kwenye nyumba...
Sebule na chumba cha kulala chenye choo/bafu ndani yake vinapangishwa eneo tajwa hapo juu(ni Dar). Single au couples wanaoanza maisha vitawafaa sana. Maji na umeme vipo na iko ndani ya fence. Bei...
Anahitajika kijana mwenye ujuzi wa kutunza bustani na mazingira yanayozunguka nyumba; kwa kifupi awe na basic education - kusoma na kuandika.
Eneo la kazi litakuwa Mikocheni, Dar es Salaam.
Tuma...
Nauza dawa za asili zilizotokana naimea asili inatibu yafuatayo.. kuwezesha wakina mama kushika mimba..inatibu pia hedhi kwenda siku nyingi...kuzuia kutoka haruf mbaya sehemu za siri..inatibu pia...
Habari.
Kichwa cha Habari chajieleza..Nina nyumba yangu maeneo ya Chuo cha Teku (Block T)Barabarani kabisa karibu na kwa Memba,sipo mkoani Mbeya kwa sasa na Naitaji kuiuza.
Nauliza kwa Sasa Hapo...
Mashamba ya miti ya mbao aina ya mpaina yanauzwa.
Miti ya umri wa miaka 5 kwa hekari moja pamoja na alidhi ni 3.5million
Miti ya umri miaka 4 kwa hekari moja 3million
Miaka3kwa hekari moja...
ENGLISH MEDIUM SCHOOL FOR SALE,
HOTEL FOR SALE-Mbeya city
HOUSE FOR SALE UZUNGUNI/UHINDINI
FULL FURNISHED HOUSE FOR RENT- UZUNGUNI,UHINDIN
INDUSTRIAL PLOT FOR SALE 8000Sqms-IYUNGA
OFFICE...
nauza kiwanja changu maeneo ya lugwadu chenye ukubwa wa mita 20 kwa 20 bei maelewano hakijapimwa kwa anaehitaji anichek kwenye namba hizi 0688246998, 0675953263
Habari za asubuhi ndugu zangu wa Jamii forums, natumaini kwa kudra za mwenyezi Mungu wote ni wazima wa afya.
Kama Tangazo linavyojieleza hapo juu, nauza kiwanja cha heka 4 kinauzwa kipo Madale...
Ninauza vitu hivi kwa sh. mil 1.2 tu. Kitanda 6×6, godoro Qfl Dodoma 6×6 unene inch 10, redio (subwoofer pinetech original na speaker zake 5), TV Panasonic original inch 21na meza yake, deki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.