Msaada.. Natafuta mkaa kwa bei ya jumla

Msaada.. Natafuta mkaa kwa bei ya jumla

inno89

Member
Joined
Jun 26, 2016
Posts
90
Reaction score
75
Habari Wakuu, nilikuwa Natafuta ushauri,uzoefu na maelekezo yenu ni wapi ntapata mkaa Mzuri kwa matumizi ya nyumbani. Mkaa ninaotafuta ni wa bei ya jumla pia biashara hii ntaifanya kwa kufuata sheria sio kimagendo, NAOMBENI MUONGOZO WENU
 
Habari Wakuu, nilikuwa Natafuta ushauri,uzoefu na maelekezo yenu ni wapi ntapata mkaa Mzuri kwa matumizi ya nyumbani. Mkaa ninaotafuta ni wa bei ya jumla pia biashara hii ntaifanya kwa kufuata sheria sio kimagendo, NAOMBENI MUONGOZO WENU

embu waone wauza mkaa hapo mtaani kwenu 😀
 
Na taratibu za kufuata kupata kibali cha kusafirisha na kuuza mkaa zikoje na gharama zake zikoje?
 
Upo wapi na unataka kununua magunia kuanzia mangapi?
 
Back
Top Bottom