Amia dodomaHizo 20m ni nyingi sana kwa kipindi hiki, hiyo bei kısa Dar au? ? Kwa mie naona bora tu nijenge mkoani na kwa hiyo pesa nyumba ishakamilika. Anyway nisiongee mengi wasubiri wenye nazo waje. Ila msisahau wenye viwanja zaidi ya 100 na ambao viwanja vyao hawaviendelezi wote tutawanyang'anya.
Segerea ni hot area, huwezi kupata kiwanja kwa 10mil kwa sasa.Hizo 20m ni nyingi sana kwa kipindi hiki, hiyo bei kısa Dar au? ? Kwa mie naona bora tu nijenge mkoani na kwa hiyo pesa nyumba ishakamilika. Anyway nisiongee mengi wasubiri wenye nazo waje. Ila msisahau wenye viwanja zaidi ya 100 na ambao viwanja vyao hawaviendelezi wote tutawanyang'anya.
Hili neno,Serikali imeshatoa tamko kwamba msinunue viwanja visivyopimwa kwani mpango mji mpya upo mbioni kuanza na pia kutoa bei elekezi za viwanja so muweni makini sana katika hili.
Hapana,pamoja na hilo lakini kwa maeneo ambayo ni makaz lakini hapajapimwa yaan ni squatter(spelling), watavirasimisha.Serikali imeshatoa tamko kwamba msinunue viwanja visivyopimwa kwani mpango mji mpya upo mbioni kuanza na pia kutoa bei elekezi za viwanja so muweni makini sana katika hili.