wazima?
naomba kuuliza kama naweza kupata mkopo kutoka either kutoka bank/ taasisi ndogondogo za kutoa mikopo au hata watu binafsi?
kiasi cha mkopo ni milions kadhaa ila dhamana naweka vyeti maana sina ardhi wala nyumba
aisee!! kweliHakuna mkopo wa aina hiyo
samahan sijui utaratibu huo, unaweza kunieleza zaidi inakuwaje kuwaje?Jiunge kwenye vikundi kuna pesa Halmashauri kwa ajiri ya mikopo kwa vijana riba nafuu.
mbona unaguna Rachel?
vyangu ni originalINA maana huna hata dada wa kumuweka rehani?
Vyeti 98% ni feki kutoka Kiwalani
Kutoka Congovyangu ni original
mkuu acha hizo!Kutoka Congo
nifanyeje mkuu maana sina jinsiNchi za wenzetu inakubalika. Ila kwa tanzania sijawahi kuisikia. Kumbuka hakuna dhamana ngumu kama vyeti. Wengine wanaweka hadi hati za kusafiria pamoja na vyeti au documents zote orijino. Inafika mahali unajuta maana inatokea dharura flani yakusafiri nje unashindwa.
Sasa ukiweka vyeti ukishndwa kulipa....hvyo vyeti vitageuka kuwa hizo millions kadhaa????wazima?
naomba kuuliza kama naweza kupata mkopo kutoka either kutoka bank/ taasisi ndogondogo za kutoa mikopo au hata watu binafsi?
kiasi cha mkopo ni milions kadhaa ila dhamana naweka vyeti maana sina ardhi wala nyumba
cha chuo kwa sasa sina! nina cha advance na olevelVyeti vyako havina mkopo wa bodi? Manake inabidi uwe Na barua ya clearance
nashukuru!ujaweka maelezo yako vizuri..
-unataka mkopo wa nini/kufanyabiashara au kujiendeleza kielelimu
-unataka million kadhaa weka wazi million ngapi
karibu kwa hoja
mkuu form six nina division two ya point 12 na form four nina division one ya point 17Mkopo wa milioni 5, je unadhihirishaje kwamba vyeti hivyo vina thamani ya zaidi ya Milioni 5??
Isije ikawa ni vile vya division five