Hbr zenu wananchi wa JF, natumaini kwa uweza wake Maulana hatujambo.
Kama bango linavyojieleza, nauza gari aina ya Toyota Starlet.
Imelipiwa vibali vyote na ipo kwenye hali nzuri kabisa...
Wadau Habarini za mchana,
Pawahost Web Services inapenda kuwatangazia kuwa ,sasa ipo kwenye punguzo kubwa la bei kwa huduma zake mbalimbali kama ilivyooneshwa hapa chini:-
1.Domain kwa punguzo la...
Kwa mtaalamu wa program hizo namuhitaji.
nina intro kidogo ya program hizo na computer kwa ujumla hatapata shida ya kunifundisha.
muda ni kuanzia saa 11 hadi saa 1 jioni
mwanza mjini..
nipigie...
Nauza kiwanja changu milioni 17 KWA MKUPUO/AWAMU 1;MILIONI 19 KWA MALIPO YA AWAMU.Malipo ya awamu napokea tunaandikishana kwa mwanasheria nakupa kopi ya hati,orijino nakupa ukimaliza deni...
The CISA designation is awarded to individuals with an interest in Information Systems auditing, control and security who meet the following requirements:
1. Successful completion of the CISA...
Habari wadau.
Natafuta kununua pumba za mahindi kama magunia 50 kwa bei ya jumla. Naomba mnielekeze viwanda hapa dar ea salaam, napoweza kupata kwa haraka. Asanteni
Habari wakuu.
Nafundisha accounting Packages mbalimbali kwa watumiaji na supporters. Hii ni pamoja na Sage evolution, Pastel Partner, premier payroll, Tally na Sage HR.
Elfu themanini kwa kila...
*soma kwa makini ufaidike* mim nauza Brevis ya mwaka 2005 cc 2500 vvti ingine size 10 haidawa ina insurance comprehensive bhado mpyaaa mteja lazima anunue bei ni milion 9.5 kwangu Ongeza cha juu...
Bei Tsh Milioni 70
Kuna Document ya Serikali ya Mtaa( Liseni Ya Makazi)
Zipo nyumba Mbili mbili Sehemu Moja, Nyumba Kubwa ya vyumba3 na ndogo ya Chumba kimoja ambayo haijamaliziwa.
Tuwasiliane...
Ukubwa wa kiwanja ni 700Mita za Mraba.
Kiwanja kipo eneo la Makazi, hakijapimwa, unaruhusiwa kuleta Mtafiti wa ardhi kukiangalia kimekaaje.
Kiwanja kipo eneo zuri, barabara ni nzuri hadi kwenye...
Key Features
Model: 43UF680
ULTRA HD 4K Resolution
Triple XD Engine
WI-FI built in
LAN
Lg store apps
Full Web Browser
Smart TV with webOS
Ultra HD 4K Streaming
4K Upscaler
IPS 4K Panel
Magic...
1. Nyumba ipo Tabata Kisukulu, Wilaya ya Ilala, jijini Dar Es Salaam
2. Nyumba ipo plot no 1215, Block A
3. Eneo lote linaukubwa wa mita za mraba 1072.
4. Ina hati ya miaka 33
5. Ni nyumba ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.