Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hbr zenu wananchi wa JF, natumaini kwa uweza wake Maulana hatujambo. Kama bango linavyojieleza, nauza gari aina ya Toyota Starlet. Imelipiwa vibali vyote na ipo kwenye hali nzuri kabisa...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wadau Habarini za mchana, Pawahost Web Services inapenda kuwatangazia kuwa ,sasa ipo kwenye punguzo kubwa la bei kwa huduma zake mbalimbali kama ilivyooneshwa hapa chini:- 1.Domain kwa punguzo la...
1 Reactions
1 Replies
756 Views
TILES,Better tiles,Better life ~ Jimkazi Official Website
0 Reactions
0 Replies
902 Views
Kwa mtaalamu wa program hizo namuhitaji. nina intro kidogo ya program hizo na computer kwa ujumla hatapata shida ya kunifundisha. muda ni kuanzia saa 11 hadi saa 1 jioni mwanza mjini.. nipigie...
0 Reactions
0 Replies
656 Views
Mabati ya Rangi(migongo midogo,migongo mipana,na mikunjo) ~ Jimkazi Official Website
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mabati ya Rangi(migongo midogo,migongo mipana,na mikunjo) ~ Jimkazi Official Website
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza kiwanja changu milioni 17 KWA MKUPUO/AWAMU 1;MILIONI 19 KWA MALIPO YA AWAMU.Malipo ya awamu napokea tunaandikishana kwa mwanasheria nakupa kopi ya hati,orijino nakupa ukimaliza deni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
The CISA designation is awarded to individuals with an interest in Information Systems auditing, control and security who meet the following requirements: 1. Successful completion of the CISA...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wadau. Natafuta kununua pumba za mahindi kama magunia 50 kwa bei ya jumla. Naomba mnielekeze viwanda hapa dar ea salaam, napoweza kupata kwa haraka. Asanteni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu. Nafundisha accounting Packages mbalimbali kwa watumiaji na supporters. Hii ni pamoja na Sage evolution, Pastel Partner, premier payroll, Tally na Sage HR. Elfu themanini kwa kila...
0 Reactions
0 Replies
604 Views
*soma kwa makini ufaidike* mim nauza Brevis ya mwaka 2005 cc 2500 vvti ingine size 10 haidawa ina insurance comprehensive bhado mpyaaa mteja lazima anunue bei ni milion 9.5 kwangu Ongeza cha juu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyumba ya kisasa zaid ina :>master bedroom 1 :>single room 4 ;>sitting room :>dinning :>Jiko&store :>public toilet 2 :>umeme unawaka :>full tiles & gypsum board :>sliding windows :>huduma muhim...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kiwanja moja ya viwanja vilivyopimwa na serikali, sqm 804, kina hati, kipo barabarani, bei 70m Maelewano yapo. 0659445718
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Bei Tsh Milioni 70 Kuna Document ya Serikali ya Mtaa( Liseni Ya Makazi) Zipo nyumba Mbili mbili Sehemu Moja, Nyumba Kubwa ya vyumba3 na ndogo ya Chumba kimoja ambayo haijamaliziwa. Tuwasiliane...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ukubwa wa kiwanja ni 700Mita za Mraba. Kiwanja kipo eneo la Makazi, hakijapimwa, unaruhusiwa kuleta Mtafiti wa ardhi kukiangalia kimekaaje. Kiwanja kipo eneo zuri, barabara ni nzuri hadi kwenye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Key Features Model: 43UF680 ULTRA HD 4K Resolution Triple XD Engine WI-FI built in LAN Lg store apps Full Web Browser Smart TV with webOS Ultra HD 4K Streaming 4K Upscaler IPS 4K Panel Magic...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habarini ndugu zangu natafuta soko la mchele mzuri toka kyela nauza kilo 1500 /= kama unahitaji ni pm au piga simu 0716134501 niko dar es salaam mimi
0 Reactions
4 Replies
3K Views
1. Nyumba ipo Tabata Kisukulu, Wilaya ya Ilala, jijini Dar Es Salaam 2. Nyumba ipo plot no 1215, Block A 3. Eneo lote linaukubwa wa mita za mraba 1072. 4. Ina hati ya miaka 33 5. Ni nyumba ya...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ni PM nikupatie mawasiliano zaidi; inapatikana Dodoma ktk hali nzuri kabisa
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Back
Top Bottom