Wadau
kwa yeyote anayeelewa wapi naweza kupata soko la NYANYA MAJI na MATANGO anijurishe,iwe Tanzania ama nje ya Tanzania napatikana kwa 0714766823
Asanteni sana
1. Kamera ya mbele yenye MP 13
Ni kamera inayotoa selfie bomba zaidi zenye uangavu wa hali ya juu huku ikiwa na uwezo wa kupiga selfie ya kundi kubwa bila kutumia selfie stick, lakini usijiulize...
Habari wanaJF, kwa walio maliza form six na wengine nawakaribisha kwenye mafunzo ya computer yatayoanza j3 tarehe 25/07/2016 mitimirefu mailmbili, dodoma kwa bei nafuu.
1: Introduction to...
Ndugu wana jukwaa heshima kwenu, kwa wakazi wa Dar es salaam tunatoa huduma za maturubai, viti na meza kwenye shughuli mbalimbali, tunapatika kimara Baruti..
0755971223
Wakuu natumai mu wazima wa afya.Nauza tecno boom j8 ina kila kitu chake bado mpya.Ukihitaji na risiti nakupa.Simu ni latest ni 4G LTE,16GB STORAGE,2GB RAM.Nauza kwasababu nina dharura ya...
Banners,Flyers,Brochures,Business, Cards,architectural Model printing À1,Sticker Papers kwa wajasiliamali.
Bei zetu ni nafuu sana.Ubora wa kazi zetu ndio tofauti na wengine.
Chagua Joana Digital...
Tunauza cement ya Twiga 10800 bila transport na usafir itakua 11300,, kwa dar tunapeleka kokotee ulipo na kwa mikoan tunachukua oda,,
Cement ya kisarawe lucky cement kwa bei ya jumla 11000...
Ndo kwanza imetua Zanzibar toka Dubai.
Automatic gear. Ina viwango kama unavyoiona kwenye picha.
IPO ZANZIBAR.
Nahitaji million 9 tu!
Tuwasiliane kwa namba (+255 762 466 293)
Hbr zenu wananchi wa JF, natumaini kwa uweza wake Maulana hatujambo.
Kama bango linavyojieleza, nauza gari aina ya Toyota Starlet.
Imelipiwa vibali vyote na ipo kwenye hali nzuri kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.