Mheshimiwa,Ndugu, ungeelezea kidogo bei,picha nk sasa hivyo ilivyoandika ndo nn
Mkuu,Umemaliza!
Mkuu,
Kwa jibu ulilolitoa kwamba "umemaliza" nimekuelewa kama ni swala dogo kwako utalichangamkia au vipi?
Kama ndio hivyo, ingia mtandao was WhatsApp uwasiliane na Namba hiyo kwa mambo ya picha, bei n.k. +250 785 44 8159
Ahsante
Wanjiru,Acha uduwanzi na ubishi wewe unaambiwa weka picha na uongeze maelezo ya hizo bidhaa zako unajifanya mjuaji,sasa Kama mambo ya whatsApp kwanini umeleta hapa tangazo lako?
Wanjiru,
Sababu ya kunitusi ni nini? Ungeeleza katika lugha ya kistaarabu ungepungukiwa nini?
Unajua maana ya uduanzi, ubishi na ujuaji? Watch your mouth please!
One who controls his tongue and guards his mouth his mouth always lives in peace!
Mkuu achana nae hataki kujifunza huyo na wala hajui how to advertise biashara yake online ......Acha uduwanzi na ubishi wewe unaambiwa weka picha na uongeze maelezo ya hizo bidhaa zako unajifanya mjuaji,sasa Kama mambo ya whatsApp kwanini umeleta hapa tangazo lako?
WanjiruMkuu hakuna tusi hapo,watangulizi wangu karibu wote hapo juu wamekuomba uweke picha kuongezea maelezo kidogo za hizo bidhaa zako wewe unaleta ubishi na mambo ya whatsApp.
Wanjiru
Uduanzi maana yake nini?
Karobangi, kayole, umoja, buru buru, Eastleigh unaweza mwambia mtu ni duanzi akakuacha?
Mimi mwerevu sio duanzi tafadhali usitukane mtu usiemjua.