BUY/RENT LAND &
HOUSE/APARTMENT IN
ARUSHA,TANZANIA. Welcome and consult us,
For any enqueries please
reach us through:
Moshono Bus Stand,
House,Plot 93
Nelson Mandela Road P.O. Box3528...
Habari za kazi ndugu watanzania.
Poleni na majukumu.
Ninaomba kujuzwa jinsi ya kukomboa mzigo hapo airport uliotumwa kutoka Dubai. Mfano nguo. Kuna utaratibu gani inayo fuatwa na malipo Yao...
Kiwanja kina ukubwa wa robo heka ni tambalale, kipo umbali wa mita 70 Kutoka morogoro road, kipo katika barabara kubwa ya mtaa, kwa maelezo zaidi piga namba 0717 000 990
Karibuni KAIZER FASHION barabara ya 10 mpate mitoko ya ukweli kama skirts aina zote, vitop, simple shoes pia mtapata huduma ya kusafishwa kucha bure. You're welcome Ladies. contact 0767291786 or...
Mgeni wa Mungu ninauza vitu vyangu mwenyewe vya halali, kwa ajili ya matumizi ya ndani. viko katika hali nzuri na vinaridhisha kwa matumizi.
Dressing mbao ya mninga 220,000/=
HPprocessor...
Kuna square meter 955 na 1200 na 2000 na 3000 na 4990 kila square meter moja ni tsh 14,000 tu. Pia kuna square meter 803 kwa tsh 17,000.
Eneo ni Katikati ya Mwongozo nyuma ya utumishi housing na...
Habari zenu wadau,
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu hii bidhaa mahususi zaidi kwa akina dada ipo sokoni at a very cheap price. Kwa yeyote aliopo Moshi ama Arusha tufanye biashara...
Naomba kufahamu, form wenye D E E, E E E hawa chuo kikuu hawaendi sawa, je na diploma pia maana Qualifications za diploma cjaona huitaji wa matokeo ya kidato cha 6, only form 4 required
Shamba lenu la ufugaji na uuzaji wa vifaranga chotara tumerudi tena kuwaletea vifaranga bora zaidi wa kuku chotara.
Kuku wetu ni wazuri sana, wanahimili magonjwa, watagaji wazuri wastani wa mayai...
Parakito(natural mosquito Repellent)
-Anti mosquito Bracelet Reppelent band
-Dawa halisi kwa ajili ya kuzuia mbu,ina kidonge ambacho kimetengenezwa mafuta kutokana na mimea ya lavender kwa...
guys natafuta Samsung galaxy demo unit zile ambazo haziingii line iwe ni kuanzia galaxy s6, s6 edge, note 5, s6 edge plus, s7 au s7 edge. natafuta kama show off kwenye project zangu za elimu...
JE UNA MTOTO/NDUGU yako aliyefeli kidato cha nne/sita?
KP Professional Services(KPS) kwa kushirikiana na bodi ya uhasibu (NBAA) pamoja na bodi ya ununuzi (PSPTB) tunafundisha courses za uhasibu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.