Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

BUY/RENT LAND & HOUSE/APARTMENT IN ARUSHA,TANZANIA. Welcome and consult us, For any enqueries please reach us through: Moshono Bus Stand, House,Plot 93 Nelson Mandela Road P.O. Box3528...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Habari za kazi ndugu watanzania. Poleni na majukumu. Ninaomba kujuzwa jinsi ya kukomboa mzigo hapo airport uliotumwa kutoka Dubai. Mfano nguo. Kuna utaratibu gani inayo fuatwa na malipo Yao...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu naomba mwenye kufaham naweza kupata begi km hili kwa apa dar es salaam. Natanguliza shukran
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu anaeuza kiwanja Dodoma ambacho hakina migogoro tufanye biashara, maana naona kuna hatihati ya kulihama jiji
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kiwanja kina ukubwa wa robo heka ni tambalale, kipo umbali wa mita 70 Kutoka morogoro road, kipo katika barabara kubwa ya mtaa, kwa maelezo zaidi piga namba 0717 000 990
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nataka kufanya biashara ya kuuza mitungi ya gesi nifanyeje. Ushauri plz
0 Reactions
0 Replies
781 Views
Karibuni KAIZER FASHION barabara ya 10 mpate mitoko ya ukweli kama skirts aina zote, vitop, simple shoes pia mtapata huduma ya kusafishwa kucha bure. You're welcome Ladies. contact 0767291786 or...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mgeni wa Mungu ninauza vitu vyangu mwenyewe vya halali, kwa ajili ya matumizi ya ndani. viko katika hali nzuri na vinaridhisha kwa matumizi. Dressing mbao ya mninga 220,000/= HPprocessor...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna square meter 955 na 1200 na 2000 na 3000 na 4990 kila square meter moja ni tsh 14,000 tu. Pia kuna square meter 803 kwa tsh 17,000. Eneo ni Katikati ya Mwongozo nyuma ya utumishi housing na...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari zenu wadau, Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu hii bidhaa mahususi zaidi kwa akina dada ipo sokoni at a very cheap price. Kwa yeyote aliopo Moshi ama Arusha tufanye biashara...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Naomba kufahamu, form wenye D E E, E E E hawa chuo kikuu hawaendi sawa, je na diploma pia maana Qualifications za diploma cjaona huitaji wa matokeo ya kidato cha 6, only form 4 required
0 Reactions
1 Replies
778 Views
Shamba lenu la ufugaji na uuzaji wa vifaranga chotara tumerudi tena kuwaletea vifaranga bora zaidi wa kuku chotara. Kuku wetu ni wazuri sana, wanahimili magonjwa, watagaji wazuri wastani wa mayai...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Kwa wakazi wa Dar es Salaam, kanga wanauzwa bei poa! Mwenye kuhitaji ani PM.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba msaada wa kufahamishwa bei za jumla za laptop, na je bongo yapo maduka ya jumla ya laptop au mpaka nje. [emoji120] [emoji120] [emoji120]
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Parakito(natural mosquito Repellent) -Anti mosquito Bracelet Reppelent band -Dawa halisi kwa ajili ya kuzuia mbu,ina kidonge ambacho kimetengenezwa mafuta kutokana na mimea ya lavender kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu wa JF! Duka gani hapa Dar naweza kupata bateri za lenovo Vibe??
0 Reactions
0 Replies
839 Views
kwema, nauza simu yangu C5 ipo kwenye hali nzuri sana naishi Mwanza. bei 150,000/=. Asante.
0 Reactions
5 Replies
935 Views
Wadau tikiti zipo tayari hekari 2 aina sukari F1 zipo chato mjini.Makubwa kama gari ni tani 30 .
2 Reactions
4 Replies
1K Views
guys natafuta Samsung galaxy demo unit zile ambazo haziingii line iwe ni kuanzia galaxy s6, s6 edge, note 5, s6 edge plus, s7 au s7 edge. natafuta kama show off kwenye project zangu za elimu...
0 Reactions
0 Replies
900 Views
JE UNA MTOTO/NDUGU yako aliyefeli kidato cha nne/sita? KP Professional Services(KPS) kwa kushirikiana na bodi ya uhasibu (NBAA) pamoja na bodi ya ununuzi (PSPTB) tunafundisha courses za uhasibu na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom