Nahitaji reagents na Instruments kwa ajili ya maabara, naamini wapo wauzaji / wasambazaji humu. Tafadhali tuwasiliane kwa e-mail jnb14enterprises@gmail.com
Physical Addredd - niko Mwanza city.
KIWANJA KILICHOPO DSM KINAUZWA: Kipo Mbezi Luisi, Makabe katika kitongoji kinachoitwa MSAKUZI(Kwa Lipelanya).Kipo umbali wa kama mita 800 kutoka stand ya Msakuzi. Ukubwa wake: 20mx2m. Bei...
Upungufu wa nguvu za kiume ni shida inayosumbua wengi,lishe duni,msongo wa mawazo na mitindo ya maisha ya watu wengi, vimekuwa visababishi vikubwa vya tatizo hili kwa kuona hivo kampun yetu ya...
Kiwanja kinatafutwa mabwepande kwenye eneo lililokuwa la IFM upimaji awamu ya pili uliofanywa Na Manispaa Kinondoni.Ukubwa Nita za mraba 1200.Simu namba.0658334403
Wadau, natumai amjambo, mimi ni mjasiriamali, nina duka langu lina mzigo wa milioni TANO, lipo kinondoni kwa Ali maua, lina mzigo wa maana na clasic, zuri kwa warembo wanaopend kufanya biashara ya...
Nauza kiwanja kipo km 5 toka Kivukoni Ferry na km 7 toka daraja la mwalimu nyerere, kama unaelekea njia ya mjimwema maeneo ya kwa mwingira.
Kina hati miliki ukubwa wa eneo ni mita za eneo 935...
Huyu mtu anayejiita Stevenfrank ni tapeli kuweni makini msije ingia mkenge kama alivyoninasa mimi, akidai anatoa huduma ya startimes free kwa mwaka mzima kuweka chanel 109 za DST na 3 packages za...
Wakuu wa Nchi natafuta mafuta ya nazi ya kula .Nimeangaika hapa Arusha mjini hiyo kitu hawajui ,yapo tuu ya kupaka ya watoto .kama unajua mahali yanapatikana please let's me know.
habari zenu Wakuu, Nina lengo la kufungua duka la chakula au nafaka kwa bei ya jumla hapa jijini Arusha , nafaka Hizo ni pamoja na mchele, mahindi, choroko,maharage, nakadhalika. Hivyo naomba...
Kama thread inavyosema, nauza bata mzinga wenye umri wa miezi nane. Bei kwa pair yaani jike na dume ni sh. 160,000 yaani laki na sitini kwa wote wawili.
Serious buyer aje PM. Napatikana tabata...
Wadau bata mzinga wangu sasa wameanza kutaga na nimeanza kutotolesha.Kwasasa wamebaki vifaranga 11 wa wiki 3 nauza.Pia ntakua na vifaranga wa peking ducks kama mtu anapenda anaweza weka oda.Nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.