Nyumba Inauzwa 20 mill negotiable

Nyumba Inauzwa 20 mill negotiable

kijana13

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
1,981
Reaction score
3,635
Hi, wakuu Nyumba Inauzwa ipo ukonga mombasa, bei sh mill 20, mazungumzo yapo. Inavyumba vitatu vya Kulala, kimoja master, jiko na sebule.
 

Attachments

  • 1471423721242.jpg
    1471423721242.jpg
    60.8 KB · Views: 76
Kinachouzwa ni nyumba ama kiwanja?
Anyway, eleza location tafadhali.
 
Kinachouzwa ni nyumba ama kiwanja?
Anyway, eleza location tafadhali.
Mkuu Hilo Jengo pichani ndio linauzwa, lipo vizuri Hilo Jengo na vyumba vyake. Uamuzi ni wako ukishanunua, umalizie finishing au ubomoe ujenge unayotaka ni wewe.
Nyumba hiyo ipo ukonga mombasa njia ya Kwenda moshi bar. Kituo cha mazizini
 
Haijamaliziwa finishing ndio nn
Mkuu kama inavoonekana kwenye picha, I mean kusakafiwa ndani, kupigwa plaster, Rangi, milango madirisha etc ambayo ni vya hatua ya mwisho kabla kuhamia
 
Mkuu kama inavoonekana kwenye picha, I mean kusakafiwa ndani, kupigwa plaster, Rangi, milango madirisha etc ambayo ni vya hatua ya mwisho kabla kuhamia
Ungesema haijamaliziwa au haijafanyiwa finishing bdo.
 
Ipo kwenye kiwanja cha ukubwa gani ns gsri inafika hapo kwenye nyumba??na kiwanja chenyewe hakipo kwenye open space??
 
Ipo kwenye kiwanja cha ukubwa gani ns gsri inafika hapo kwenye nyumba??na kiwanja chenyewe hakipo kwenye open space??
Ukubwa ni 20 kwa 20, Gari inafika kabisa na unaweza design parking mbele hapo. Kiwanja hakipo kwenye open space
 
Hapo hicho kiwanja mtu unachukua then nyumba unabomoa unajenga gorofa moja alafu mtu unapangisha na pamezungukwa na nyumba zingine mkuu tufanye biashara nakupa 14M kesho asubuhi upo tayari??
 
Hapo hicho kiwanja mtu unachukua then nyumba unabomoa unajenga gorofa moja alafu mtu unapangisha na pamezungukwa na nyumba zingine mkuu tufanye biashara nakupa 14M kesho asubuhi upo tayari??
Mwisho 18 fanya mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom