Nauza pumba

Nauza pumba

MUST

Senior Member
Joined
Mar 11, 2012
Posts
108
Reaction score
76
Habari za leo wakuu....nauza pumba ya mahindi ipo kibaigwa dodoma....jumla ipo gunia 300 za kilo 70 kila moja. Punba nauza kilo tsh 200 na tshs 14000 kwa gunia. Usafiri ntamuorganizia. Karibuni wote namba 0654 000253
 
Mkuu hapa dsm kuna sehemu wanauza gunia 8,000/, Angalia bei yako
 
Habari za leo wakuu....nauza pumba ya mahindi ipo kibaigwa dodoma....jumla ipo gunia 300 za kilo 70 kila moja. Punba nauza kilo tsh 200 na tshs 14000 kwa gunia. Usafiri ntamuorganizia. Karibuni wote namba 0654 000253
Kwa nini unaandika kama unafukuzwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom