Nyumba au kiwanja cha kununua kinahitajika

Nyumba au kiwanja cha kununua kinahitajika

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,138
Reaction score
365
Nyumba au kiwanja kiwe eneo la Kigamboni.
Kama una nyumba au kiwanja nitumie habari zake kwa njia ya whatsapp, picha na maelezo yake wapi kipo na kama ni nyumba mf ina vyumba vingapi n.k 0784225000.
Kiwanja au nyumba itakayokubalika kesho tutafanya ziara na mteja kuja kutazama.
Tumia fursa hii kuuza unahitaji kukiuza. Au kama hautumii whatsapp tuma katika hii email: info@kitomai.com
 
Sasa hapa kuna biashara ndani ya Biashara.
Mtu atake nyumba au kiwanja?

Mleta post style yako ni hii ya Udalali(NAKUCHANA)
-Wewe ni dalali,sasa unatafuta properties kwenye location moja,na kusema kwamba unaenda na mteja kumbe ni jamaa yako,then mnachukua maelezo ya sehem husika na kuonana na mmiliki.
Then kinachofuata mnaenda kupiga udalali wa sehem mmezoziona.Kisha kumruka dalali wa kati na kupiga deal,sio kwamba mna mteja

-Na lengo la kusema kwamba Nyumba au Kiwanja,ni kwamba lengo ni kwamba Mnajua kabisa kwamba Mkienda Kigamboni basi mtaenda kuchukua details za properties zoote hizo za wiwanja na nyumba kwa siku moja au siku mbili kulingana na idadi ya properties mlizopata,kisha mwisho wa siku kuendelea na utaratibu ule ule wa kuzinadi kama madalali wengine ambao mmewaruka hapo kati.
Na ndio maana hata Madalali wa humu JF wakiona post zako wanazichunia kama hawazioni,maana wanajua huu mchezo.

-Kujipima,angali posts ambazo watu wanahitaji viwanja au nyumba jinsi zinavyopata replies nyingi

Badilisha mfumo,au shirikisha madalali wenzio wadogo wa mitaani na sio kuwasumbua kuwatembeza sehem na kuwaruka ukipata mteja,na sio kwamba una mteja,huyo ni mtu wa kuzugia tu,ni sawa na wauza viwanja bagayomo wanavotengeneza mwenyewekiti wa serikali za mitaa na familia za wamiliki.

Madalai wa Ulaya ni Matajiri saana,ndio kina Trump,kwakuwa biashara zao ni za wazi.Ila hapa kwetu ni kama Laana,maana usanii mwingiiii Dhulma teleee
Kuna madalali tangu mie nipo Primary 1990 mpaka leo bado madalali,wamechokaaa kwa dhulma na kuruka waliopiga dili nao
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Sasa hapa kuna biashara ndani ya Biashara.
Mtu atake nyumba au kiwanja?

Mleta post style yako ni hii ya Udalali(NAKUCHANA)
-Wewe ni dalali,sasa unatafuta properties kwenye location moja,na kusema kwamba unaenda na mteja kumbe ni jamaa yako,then mnachukua maelezo ya sehem husika na kuonana na mmiliki.
Then kinachofuata mnaenda kupiga udalali wa sehem mmezoziona.Kisha kumruka dalali wa kati na kupiga deal,sio kwamba mna mteja

-Na lengo la kusema kwamba Nyumba au Kiwanja,ni kwamba lengo ni kwamba Mnajua kabisa kwamba Mkienda Kigamboni basi mtaenda kuchukua details za properties zoote hizo za wiwanja na nyumba kwa siku moja au siku mbili kulingana na idadi ya properties mlizopata,kisha mwisho wa siku kuendelea na utaratibu ule ule wa kuzinadi kama madalali wengine ambao mmewaruka hapo kati.
Na ndio maana hata Madalali wa humu JF wakiona post zako wanazichunia kama hawazioni,maana wanajua huu mchezo.

-Kujipima,angali posts ambazo watu wanahitaji viwanja au nyumba jinsi zinavyopata replies nyingi

Badilisha mfumo,au shirikisha madalali wenzio wadogo wa mitaani na sio kuwasumbua kuwatembeza sehem na kuwaruka ukipata mteja,na sio kwamba una mteja,huyo ni mtu wa kuzugia tu,ni sawa na wauza viwanja bagayomo wanavotengeneza mwenyewekiti wa serikali za mitaa na familia za wamiliki.

Madalai wa Ulaya ni Matajiri saana,ndio kina Trump,kwakuwa biashara zao ni za wazi.Ila hapa kwetu ni kama Laana,maana usanii mwingiiii Dhulma teleee
Kuna madalali tangu mie nipo Primary 1990 mpaka leo bado madalali,wamechokaaa kwa dhulma na kuruka waliopiga dili nao
kumbe ndo zake ? asante mkuu kwa kumchana liive kidogo niropoke
 
Tatizo moja ni tamaaa madalali wengi wa bongo wamevamia fani sio zao wanalazimisha wakiamua kufanya partinership watatoka kama huyu anakuja na mbwembwe nyingi kumbe hakuna kitu mm nina Nyumba Kigamboni na ni ya kisasa nauza lakini sikwa mtindo huu na siitaji dalali maana madalali wengi wanapandisha sana bei za nyumba ili wapate hela mara mbili sasa kama kuna mteja yeye atakuja mwenyewe tutamalizana.Ahsante kamanda kwa kunistua maana ningeingia king
 
Tatizo moja ni tamaaa madalali wengi wa bongo wamevamia fani sio zao wanalazimisha wakiamua kufanya partinership watatoka kama huyu anakuja na mbwembwe nyingi kumbe hakuna kitu mm nina Nyumba Kigamboni na ni ya kisasa nauza lakini sikwa mtindo huu na siitaji dalali maana madalali wengi wanapandisha sana bei za nyumba ili wapate hela mara mbili sasa kama kuna mteja yeye atakuja mwenyewe tutamalizana.Ahsante kamanda kwa kunistua maana ningeingia king
mkuu wasiliana na office yetu hutojutia kutafuta mteja na sisi
https://www.google.com/url?sa=t&rct...6zROT5sng219MEm_6Nk-hQ&bvm=bv.137904068,d.d2s
 
Tatizo moja ni tamaaa madalali wengi wa bongo wamevamia fani sio zao wanalazimisha wakiamua kufanya partinership watatoka kama huyu anakuja na mbwembwe nyingi kumbe hakuna kitu mm nina Nyumba Kigamboni na ni ya kisasa nauza lakini sikwa mtindo huu na siitaji dalali maana madalali wengi wanapandisha sana bei za nyumba ili wapate hela mara mbili sasa kama kuna mteja yeye atakuja mwenyewe tutamalizana.Ahsante kamanda kwa kunistua maana ningeingia king
Mkuu yako iko kona gani I need a house
 
Tatizo moja ni tamaaa madalali wengi wa bongo wamevamia fani sio zao wanalazimisha wakiamua kufanya partinership watatoka kama huyu anakuja na mbwembwe nyingi kumbe hakuna kitu mm nina Nyumba Kigamboni na ni ya kisasa nauza lakini sikwa mtindo huu na siitaji dalali maana madalali wengi wanapandisha sana bei za nyumba ili wapate hela mara mbili sasa kama kuna mteja yeye atakuja mwenyewe tutamalizana.Ahsante kamanda kwa kunistua maana ningeingia king
Siku zote madalali wanakwamishaga biashara kwa tamaa zao za kujidai wanapandisha bei as if Mali ni yao.

Na akupewa bei ile unayotaka wewe mwenye mali wako tayari kukataa na kuanza kuikashifu hiyo biashara yako.

Wajinga sana hawa watu
 
Siku zote madalali wanakwamishaga biashara kwa tamaa zao za kujidai wanapandisha bei as if Mali ni yao.

Na akupewa bei ile unayotaka wewe mwenye mali wako tayari kukataa na kuanza kuikashifu hiyo biashara yako.

Wajinga sana hawa watu
anataka ale hela sawa na wewe utadhani mlijenga wote
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Weka no ya simu mimi nina viwanja nauza madalali wamenisumbua kinoma.
+255 755-181222
Apps-whatsapp-icon.png
skype.png
viber.png


Email info@bryanstonproperties.co.tz
 
Viwanja vipo eneo gani, ukubwa gani na bei gani?? Mimi sio dalali, naweza nikawa mnunuzi nikiridhika
Kuna kiwanja mwongozo karbu na nssf project, mita kama 300 hv toka ufukweni, sqm 630 bei milion 30

Kingine kibada sqm 1800 kasoro kidogo milion 70.

Vyote ni vya kupima
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Viwanja vipo eneo gani, ukubwa gani na bei gani?? Mimi sio dalali, naweza nikawa mnunuzi nikiridhika
Kibada block 11 square meter 2000 86M
kibada block 11 square meter 1500 65 M
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Asante kwa kuja,Nawakubali,lakini hivi kuweka Pesa in USD na kiwanja kipo Chanika,au Kimara Mavurunza,au Tandale,hivi mzungu gani atanunua huko.
Aisee mie naona mnazidi kunivuruga tuu,maana Kitomai kaja na yake,wewe nae umeenda kivyako.
Wekeni Tsh
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Asante kwa kuja,hivi kuweka Pesa in USD na kiwanja kipo Chanika,au Kimara Mavurunza,au Tandale,hivi mzungu gani atanunua huko.
Aisee mie naona mnazidi kunivuruga tuu,maana Kitomai kaja na yake,wewe nae umeenda kivyako.
Wekeni Tsh
sijakuelewa mkuu nina kosa gani sasa?
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Ninacho Tuangoma sq. M 730, kuna hati, kipo jirani kabisa na mradi wa NHC. Nipe 50M nikukabidhi nyaraka fasta.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom