Habar zenu wandugu, Nina rafiki yangu anauza premio yake ili aweze kuongezea kwenye mtaji wa biashara yake, bei anayouzia Gari yake namba b anaanza 5.5m pungufu unaongea, Gari ipo magomeni Na ina deni la tra ni 1,150,000/= na deni mtakatana kwenye pesa ya mauziano mtakayokubalia kuuziana Gari. (Nitafute kupitia 0716 002323)