Kwa mahitaji ya kurekebisha Computer...kama haiwaki au ipo slow,Ku install Windows xp,7,8,10 au Apple OS.Data Recovery za flash memory cards pamoja na Harddisk. Ofisi ipo kariakoo mtaa wa msimbazi..
IPO DAR ES SALAAM Inachimba hadi mita 200 ila ninazo sticki za mita 150 tu. Inatumia diesel na ulaji wake mzuri kuliko mashine zote zingine
Inachimba hadi mita 100 kwa lita 50 BEI 65,000,000 kwa...
Arctic sea imetokana na mafuta ya samaki anayepatikana kwenye kina kirefu cha bahari ya Arctic anayetoa Omega 3 (750mg) na mafuta ya mizaituni inayotoa Omega 9 (250mg).
FAIDA:
01. Husaidia...
*Mabadiliko yanayokuathiri wewe mwajiriwa na Ajira yako*
*FACTS*
Kwa Tanzania sasa hivi kupoteza kazi yako ni rahisi sana. Unaweza kwenda kazini leo ukakuta umefukuzwa.
Teknolojia inabadilisha...
Ndugu zangu Natumaini mu wazima wa afya .natafuta Gari tajwa hapo juu iwe katika Hali nzuri ,iwe Dar ,tuwasiliane please kama unajua mtu anayo let's me know please ,have a wonderful day you guys.
Namtafuta mtu au kampun ya kunisaidia kuagiza kitu ninachokuwa nimeona online kama ebay au amazon. Kuwepo na mazingira rafik kuwa sitapoteza pesa yangu. Maana kuna vitu nahitaj na mbaya zaidi...
Heshima kwenu wadau,
Ninahitaji 2 tires za 10 Inches na 2 inner tubes za 10 Inches.
Nahihitaji kwa ajili ya mountain buggy stroller.
Kwa aliye nazo au anajua wapi kwa kuzipata tafadhali anijuze...
Nauza kiwanja changu Iringa kipo eneo la Mawelewele, kina ukubwa wa ekari moja, hati zote zipo.
Bei milioni kumi na tano(15mil) kipo karibu na barabara kuu mita 150 kutoka barabara kuu na km 14...
True Ink Associates would like to announce that CISA (Certified Information Systems Auditor) Review Classes is scheduled to commence on Monday 25/07/2016, Dar Es Salaam City Center, Raha Tower...
Kwa wanaohitaji simu mpya na hii inaweza kuwa fursa na pia inaweza kusaidia kubana matumizi. Hii ni kwamba ukinunua TECNO N2 wanakupa muda wa maongezi wa 10,000 na GB2 za intaneti utakuwa unapewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.