Habari zenu wadau, nilikuwa nahitaji TV nikawa naperuzi mitandaoni kutafuta wauzaji na nikapata hawa wanajiita Electronic Dealers wanauza TV kwa bei nafuu toka Zanzibar na pia wanasafirisha kuja...
FAIDA ZA VITUNGUU SWAUMU.
FOREVER GARLIC THYME:
Ni vitunguu swaumu vina Allicin inayotoa harufu na yenye sifa kubwa ya kuua bakteria waingiao kwenye mishipa ya damu na kudhuru Mapafu, kibofu...
Ni mashamba yanayofaa kwa kilimo cha miti ya mbao
Yanapatikana ktk tarafa ya lupembe mkoani njombe
Bei ni tsh laki moja kwa heka,
Zinauzwa kuanzia heka kumi na kuendelea.
Kwa mawasiliano nipigie...
New Apple Update Price...
I7 32gb Black 850$
I7 32gb Other Colour 810$
I7 128gb Black 900$
I7 128gb Other Colour 875$
I7 256gb Black 1,030$
I7 256gb Other Colour 1,015$
I7 Plus 32gb Black...
Wandugu! Mimi ni kijana wa kiume mwenye cheti cha Clearing and forwardng na cheti cha Maabara! Izo fani ninazo, lakin Kaz ambayo nitafanya kwa aman ya Moyo na kuifurahia n kua mmoja wa Afisa...
Habar. .
Nahtaji Graphic design anayejitegemea asiwe ameajiriwa afanye kazi za kampuni yangu ya Entertainment.....kama tutaelewana atakuwa ndani ya kampuni. .. Awe updated na m bunifu" kazi kubwa...
Habari zenu wana jamvi.
Rejea kichwa cha habari hapo juu shida yangu ni kwamba natafuta kitabu cha hapo pichani kama wewe mkazi wa Dar Es Salaam unaweza kunitajia sehemu wanayouza hiki kitabu...
Heri ya Mwaka Mpya 2016, WanaJF
Tafadhali naomba mnielekeze Fundi Bingwa Wa Gari za Aina ya Nissan Xtrail. Nipo Dar es Salaam
Tafadhali naomba mniwekee hapa Namba zao Tafadhali. Nitawashukuru Sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.