Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Km 2 kutoka barabara kuu, (yakuelekea nyegezi) kimepimwa nakina hati halali.. Mill 30 tu... Kwamawasiliano karibu #0715908050
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wakuu habari za kazi... nauza Microsoft Nokia Lumia mpya kabisa haijatumika iko ndani ya box lake.... ni product ya kutoka US na nauza kwa shiling laki tatu tu kwa yoyote ambae ataitaji anipm
0 Reactions
5 Replies
852 Views
Wadau natafuta mashamba yawe eka moja na zaidi maeneo ya kibaha,kibamba, mpigi magoe na maeneo jirani ya hayo
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nahitaji maelezo ya kupata Media licence. Nahitaji ili niweze kugonga milango kwa urahisi zaidi na kupata interviews na kufanya public coverages bila kubughudhiwa. Zaidi eneo langu lipo kwenye...
0 Reactions
2 Replies
715 Views
Nauza account ya Google Adsense kwa bei nafuu,ni non hosted account,current balance ni USD 20 na huku kwingine ina zaidi ya USD 10. Address bado haijawa verified lakin barua ya Google itafika kati...
0 Reactions
1 Replies
558 Views
Kama una TV ambayo ni 65" weka offer yako hapa chini, isiwe plasma tu. LG inapewa kipaumbele zaidi, smart, 3D will be added advantage. Thank You
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kama heading inavyojieleza karibuni Hela ngumu nw changamkia fulsa
1 Reactions
5 Replies
617 Views
....Nauza fridge aina ya LG limetumika miezi nne tu.. Bei ni shillingi laki tano (500,000)... Nimeambatanisha picture zake kwa chini.. Kwa mawasiliano zaidi unaweza kunicheck kwa number 0713...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
HABARI WAKUU. Ulimwengu wa biashara hauhitaji wataalamu wa kuinstall na kuitumia system.Bali wanahitaji wataalamu wanaoweza kukaa chini na wateja na kuwasikiliza mahitaji yao, kuchambua namna...
0 Reactions
0 Replies
658 Views
Hereni 5000 Choker 10000 Cheni 13000
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari gani wakuu? Wale wote wanaojishughulisha na biashara zilizotajwa hapo juu naomba tuwasiliane. Mimi ni mjasiriamali nilie na base kubwa ya wateja wa biashara hizo na ningependa kuingia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa wapi naweza kupata "Coin slot mashine" kwa ajili kununua?
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Ni Kuku wakubwa ambao wanataga, kusudi ni kusafisha banda ili kuingiza mbegu mpya ya kuroiler. Napatikana Arusha Contact 0752030936 au 0744787289
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MSAADA HUU HAPA... Je unahitaji kununua gari toka Japan au nje ya nchi? Tatizo mda na kutojua nin ufanye ili kupata wauzaji sahihi? Usiwaze tena juu ya hilo. Mimi ninatoa msaada wakuagiza...
0 Reactions
0 Replies
545 Views
Dell inspirion inauzwa kwa bei rahisi mnooo ya Laki mbili na nusu(250000) ina Hard Disk ya 320GB,2GB Ram, Duo core Processor..piga simu 0676040772 ujipatie sasa...wahi kabla hujawaiwa.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari gani wakuu? Kama kichwa kinavyojieleza,naomba alie na laptop mini isiyo na DVD drive au yoyote inayofanya kazi, ani PM. Offer yangu ni sh. Laki moja. Asanteni na siku njema.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Shamba la heka 3 linauzwa eneo la kibaha misugusugu, umbali toka barabara kuu ya morogoro ni km 1 na nusu, kuna maji na umeme jirani na shamba, Bei ni mil 15 Namba ya muhusika 0714595 617
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Natafuta phone namba za mafundi wa CCTV Security camera,Electric Fence na Smoke detector kwa ajili yaku tengeneza group.Pls comment your name and number if you are a CCTV technician and want to join
0 Reactions
0 Replies
525 Views
Karibun niko arusha. 450000.0755661541
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina uzoefu wa miaka sita kwenye hiyo industry. Nimefanya kazi kwenye makampuni mbalimbali ndani na nje ya nchi. Nimebobea katika utengenezaji wa websites za kawaida na za simu. Pia natengeneza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom