thefreedot
Senior Member
- May 21, 2015
- 135
- 25
Bei za leo tu...
Sd Memory Card
16gb - 15,000
32gb - 25,000
64gb - 50,000
Call: 0655659115
Sd Memory Card
16gb - 15,000
32gb - 25,000
64gb - 50,000
Call: 0655659115
[emoji23][emoji23][emoji23]Upo wapi
Unacheka nini?[emoji23][emoji23][emoji23]
Napatikana mikocheni b karibia na itv...nipigie kama unahitaji.Upo wapi
Mikoani tunapatajeeBei za kesho tu...
Sd Memory Card
16gb - 15,000
32gb - 25,000
64gb - 50,000
Call: 0655659115
256 GB unayo?Napatikana mikocheni b karibia na itv...nipigie kama unahitaji.
Hapana chief hamna kitu kama hicho kwa sasa memory card huwa zinaishia kwenye 128gb mimi nina 64gb saizi ya mwisho kwasasa256 GB unayo?
Kama una mtu wako dar mpe namba yangu aje achukueMikoani tunapatajee
We vipiHapana chief hamna kitu kama hicho kwa sasa memory card huwa zinaishia kwenye 128gb mimi nina 64gb saizi ya mwisho kwasasa
Itakuwa issue mpya sana hii kama ni kweli mhh...ila wakati mwingine watu wana edit picture tu...kwenye namba hapo...afu ebay wapigaji wengi...be carefulWe vipi
![]()
Hizo zinauzwa ebay ni nini?
Kama simu zinazosuport 256GB Zilitoka tangu mwaka jana kwa nn memory zisitoke?Itakuwa issue mpya sana hii kama ni kweli mhh...ila wakati mwingine watu wana edit picture tu...kwenye namba hapo...afu ebay wapigaji wengi...be careful
Labda kweli chief..Kama simu zinazosuport 256GB Zilitoka tangu mwaka jana kwa nn memory zisitoke?
Kama una mtu wako dar mwambie aje aichukueMikoani tunapatajee
Namimi nna tatizo kama hilo hilo cjajua kwannn inakua hivo@freedot../ kwa nini katika simu za androids au yangu in shot memory card ilipokufa nilipoweka ingine../ baadhi ya vitu vilishindikanika / nikidownl.../ haitokei picha bali maandishi "thumbnail not...."
why this happen?
Bei za leo tu...
Sd Memory Card
16gb - 15,000
32gb - 25,000
64gb - 50,000
Call: 0655659115
-->>Namimi nna tatizo kama hilo hilo cjajua kwannn inakua hivo