PUREWELL(water filter) ni kifaa kizuri sana kwa ajili ya kusafishia maji na kufanya yawe safi na salama.
Kifaa hiki pia kinatibu SI kusafisha tu minyoo ya aina zote.
#kichocho
#safura
#Typhoid...
SITTA TECHNOLOGY, tunasuka inverter zenye ubora kuanzia 50W-5000W tunatoa na waranti ya miaka 3,inatumia umeme kdogo sn kuanzia 6v inatoa 220v, ni ngumu sana kuungua ikitokea short zaid ya kukata...
Je, una rafiki yako au jamaa yako anayehitaji kununua au kuuza mali zinazohamishika au zisizohamishika kama kama magari, nyumba na viwanja? Tuonganishe naye tutakulipa kamisheni, ikiwa tutaweza...
OFA OFA OFA OFA
Ungependa kutengeneza tovuti yako bure sasa na kwa muda mfupi?
Ungependa kupata hosting na space kutosha?
Ungependa kupata domain name bure ?
tzhost inakupa yote hayo pamoja na...
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo kati ya Mjimwema, Kibada na Gezaulole. Nyumba iwe na vyumba 2 vya kulala, sebule na jiko. Pia kuwepo na maji na packing ya gari mbili. Bajeti yangu ni tzs...
Eneo liko Buswelu jijini Mwanza, mita 200 kutoka Buswelu centre, linafaa kwa kufanya biashara ya uzalishaji (kiwanda kidogo), pia linaweza kutumika kwa kuendeshea mafunzo / chuo. Awali lilikuwa...
Habari zenu wana jamvi niko mwanza nataka kujua kama kuna uwezekano wa kupata kampuni ambayo inauza magari showroom ambapo ntakua naweka Pesa kidogo kidogo hadi ifike kiasi hicho ndo nichukue...
Wana jukwaa habarini,
Juzi juzi nilieka advert ya kuuza sim humu JF, basi wakatokea watu waka ni PM na mmoja wao alikua anatumia username Deimos, basi akaniambia yupo Tabora na yupo interested na...
Inajicharge yenyewe cjui inakuaje? Nikitoa kwenye chaji bado inaonyesha ile alama ya charging, mwenye utaalam anisaidie plse, cm ni original, c ya kichina
habari..naitaji godoro la dodoma foam inch 8-10...kwa bei ya inch 8(120,000-130,000)inch 10-150,000...
wapi naweza nikapata kwa bei hiyo???
Napatikana tabata kinyerez.z
shukran
Wadau salamu zenu! Ninatafuta kiwanja maeneo ya Majohe kiwe karibu na kwa Ngozoma au Majohe Kichangani. Kiwe na ukubwa wowote.
Natanguliza shukrani wadau.
Salama wakuu katika jukwaa hili
Nina shida na Tv ya Inchi 32 kama kuna MTU ana tawi Kwa Mwanza na Musoma tafadhali
Anicheki Kwa
0767258286 WhatsApp
0789258286
OFA OFA OFA OFA
Ungependa kutengeneza tovuti yako bure sasa na kwa muda mfupi?
Ungependa kupata hosting na space kutosha?
Ungependa kupata domain name bure ?
tzhost inakupa yote hayo pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.