Ni Used LAPTOP. Aina yale ni Dell PC- inspiron 1525. RAM ni 2 GB, Rating yake ni 3.1 na Hard Disk ni 160 GB
BEI = Tsh 170000/= Tu
TATIZO LAKE = BETRI HALIKAI NA CHARGE HATA Sekunde...
Heri ya krismass
Baada ya simu yangu kupigwa na wahuni wakati tukila gambe mbili tatu nimeona hali imekuwa mbaya kupata tena simu kamaya aawali, nimeamua nitafute walau note 3 , je kama unayo na...
Pagama( nyumba ambayo haijaisha)imefikia hkwenye hatua ya kuweka linta na lina vyumba vitatu vya kulala kimoja wapo ni master,sebule,sehemu ya kulia,jiko na stoo ipo maeneo ya Buyuni kituo kwa...
Habari zenu wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyosema.
Simu ni Huawei Ascend P6
Ram 2 GB
Back Camera 8 MP
Front Camera 5MP
Coard Core 1.5 GHz Cortex A9
Simu iko katika hali nzuri kabisa. Nakupa...
PATA USAFIRI WA UHAKIKA KUTOKA KWA CORPORATE TOUR.
Katika kipindi hiki cha sikukuu Corporate Tour inakuletea usafiri bomba kwa ajili ya WEDDING, KITCHEN PARTY,SENDOFF na TOURS na sherehe...
Habari,
Natafuta simtank iliotumika but nzima yenye ujazo wa lita3000.
Muuzaji awe maeneo ya Dar es Salaam.
Nicheki inbox (pm) tuongee biashara.
Asante
Ndugu wana JF....... Nina kiwanja kinauzwa. Kipo Bunda, kata ya Balili na mtaa wa Balili.
Kipo umbali wa 0.5KM toka barabara ya Mwanza Musoma mkono wa kulia ukiwa unatokea Mwanza kwenda Musoma...
Ina vyumba vitatu, kimoja Ni master+choo cha public+Sebule+Dining Room+jiko+
+maji +fensi na Parking ya gari ndogo 5+luku inajitegemea
Ipo Kigamboni km 1 toka kwenye pantoni
Bei: Tsh. Laki 3.5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.