Nimerudi fundi wenu wa laptop(Morogoro)

Nimerudi fundi wenu wa laptop(Morogoro)

Analogia Malenga

Platinum Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,292
Reaction score
10,842
Kwa wakazi wote wa Morogoro na viunga vyake.


Je una tatizo lolote katika laptop yako?

Una flash au memory card inayokusumbua?


Tatizo lako limekwishaaa…

Muone fundi aliyebobea katika utengenezaji wa computer, anafanya huduma zote za laptop na utaalamu. Pia kufundisha matumizi ya baadhi ya software.

Wasiliana naye kwa simu 0718651585 au 0765778250.

Huduma yetu iko ulipo, tunakufuata ulipo na kumaliza tatizo lako ndani ya muda mfupi.

Karibu
 
Back
Top Bottom