Huhu ni mfumo wa kieletronic wa hospitali,mfumo huo umetengenezwa na sow technologies na unapatikana kwa bei nafuu kabisaaa karibuni sana.Na hiyo ni demo video ya mfumo huo
kwa masiliano piga +255...
Viwanja vilivyopimwa kiserikali vinauzwa Mkuranga. Hatua iliyobaki ni mnunuzi kwenda kuchukua HATI.
Kilometre 3 toka Mkuranga Mjini; Umeme unapita na uendelezaji wa maeneo umeshaanza.
Bei ni...
Autoguru workshop Tunatengeneza na kuuza fenicha kwa Jumla na rejareja. Kwa fenicha kama:
Vitanda vya wakubwa na watoto
Double decker kwa shule/Hostel na majumbani
Dining Tables
Dressing Tables...
Autoguru garage ni kampuni inayoshughulika na utengenezaji wa magari kuanzia,
kunyosha magari na kupiga rangi
service za magari
diagnosis
engine overhaul
kubadilisha vioo
Alarm systems
Fleet...
Habari zeni,
Mimi ni muuzaji wa asali mbichi original kutoka Tabora na Kigoma ipo nyingi sana kwa bei ya jumla ya 220,000/- kwa lita 20. Anayehitaji anicheck kwa kupiga au kunitumia sms au...
Heri ya mwaka 2017, mwaka wa mafanikio makubwa na utimilifu wa mipango na ndoto zetu za miaka mingi.
Kwa neema ya Mungu nimepata order ya kusupply mchele 30000 metric ton kwa mwezi kwa muda wa...
Wadau wa biashara!!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu nahitaji Laptop haraka sana kwa ajili ya mwanafunzi.
1. Bajeti yangu Tsh 200,000/-
2. Napatikana Kigamboni, Dar
3. Hotline: 0659...
Nahitaji Mtaalamu wa kunijengea bwawa la kufugia kambale kisasa litakalokuwa limejengwa na mabanzi na karatasi maalum la nailoni lenye uwezo wa kufugia kambale 1000. Mimi niko Moshi Vijijini -...
Natafuta Noah Old Model aidha LiteAce au TownAce (G exurb au super extra Limo), ya kuanzia mwaka 1999 na kuendelea, iwe na namba C** au D** na iwe kwenye hali nzuri.
Bajeti yangu ni 8m.
Sihitaji...
Habari yako,
Je, unatamani kumiliki gari/magari bora zaidi lakini huna fedha za kutosha.?!
Umechoka kununua magari kwa watu nawe unatamani kuagiza gari/magari bora na kwa gharama nafuu sana...
Heri ya Mwaka Mpya
Nauza Kiwanja changu kilichopo mkoani Dodoma mahali panaitwa MAKULU ukiwa njiani kwenda Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)
Ukubwa ni Hatua 30 kwa 20. Bei ni Milioni Mbili tu na...
Wana JF
Habari na poleni kwa mihangaiko ya kimaisha.
Kuna plot inauzwa kwa ajili ya makazi ipo Mtegu, karibu na Kibada.
Ina ukubwa wa futi 70 kwa 57.
Kipo karibu na barabara kuu ya kuelekea...
Gari haina shida yoyote ile
Full vibal
Full ac
Haijawai kugongwa hata mara moja
Bei ni 11800000
Biashara maelewano mi ndo mmiliki
Tigo 0718017711
Voda 0743553553
Ni mpya kabisa nimeitumia siku mbili tu
Horsepower ni 1.5 ina ubarid wa kutosha na matumiz madogo sana ya umeme nichek
Tigo 0718017711
Voda 0743553553
Bei ni 550000 punguf unaongea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.