Habari wana jamvi , natumai ni wazima.
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kuanzia magomeni hadi kimara mwisho.
Nyumba iwe ya kuanzia vyumba viwili vya kulala sebule master na sitting room...
Ndugu wadau nahitaji laptop aina ya Dell au hp Kama uko nayo tafadhali weka specifications hapa ili tuwacliane zaidi offer yangu Ni 300k nipo Dar
MREJESHO
Nashukru kwa ushirikiano wenu wadau...
Hii hapa chini, hii inatakiwa 170 milioni,
ipo Tandika ina bedrooms 4,ina sitting room,ina dining, jiko na kisima.
Inauzwa na vitu vyake vya ndani bado vipya na nyumba ni mpya
Nauza kiwanja meta 1428 kipo kigamboni mikwambe karibu kabisa na mradi Wa Nyumba za nhc kimepimwa kinahati being 35 millioni tu
0755 469696 mindio mmiliki halali
Je wewe ni mjenzi au unafyatua matofali au muuza cement kwa bei ya rejareja!?
Tunauza cement ya camel kwa bei ya chini kutoka moja kwa moja kiwandani. Gharam za usafiri na ushushaji utalipa...
Kama heading inavyosomeka wadau,nahitaji hiyo kitu full yaani kuanzia decorder hadi dish,ofa 70,000 mwisho Jumamosi.
Maeneo:Uwe IRINGA/IFUNDA/MAFINGA/MAKAMBAKO.
(1)KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI;KIPO KIBUGUMO;KIMEPAKANA NA SECONDARI YA KIDETE.Kiwanja hicho kina ukubwa wa ekari moja.Sio mbali kutoka barabara kubwa ya lami.Bei mil 40 tu.Mazungumzo yapo.Contacts...
Jiajiri kupitia MTAJI mdogo.wa vifaranga watakao KUPA Faida kubwa
Si hivyo tu.utapewa ELIMU..USHAURI BURE
Juu ya ufugaji..
WAHI OFFA hii ya Mwaka ..Kwa ajili yako
Nauza gari aina ya NOAH VOX 2002 MODEL. Ipo katikati hali nzuri
BEI; Milioni 9.5
Mawasiliano: 0717255027
Haina tatizo lolote, nauza nijikwamue kidogo kwasababu nimepata mtikisiko wa kiuchumi.
Salaam wadau..nauza nyumba ipo Makumbusho stand kwa nyuma karibu kabisa na hotel ya Mesuma.Ina eneo la kutosha sana.Bei ni Mil.160 maongezi yapo.In hati miliki. Kwa mawasiliano...
jumla ya vyumba ni vinne ,master Mbili
+Sebule+Dining Room+jiko+stoo
+tank maji +fensi na Parking
Ipo mikadi kigamboni
Bei: Tsh. Laki 5 kwa mwezi (malipo ni mwaka)
Dalali yangu ni mwezi mmoja...
Nauza laptop aina ya Acer aspire,ina inch 14,inatumia 8.1 window,Intel celeron 2ghz,ina 2GB ram na 500GD HDD
Ni mpya iliyotumika wiki tatu tu,ni nyepesi kubebeka ina uzito mdogo hata kwenye mkoba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.