Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Asasi ya PDPR inauza na kukopesha vitotozi vya mayai ya kuku automatic na manual vya mafuta ya taa na umeme, mashine za kuchomelea, kufyatulia tofari, biogas plant (umeme wa choo) mizinga ya...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Bado tu unatumia free emails mf: jinaLaBiashara@gmail.com/yahoo.com na nyinginezo.. Kwanini usiwe na email binafsi kwajiri ya biashara yako? Mfano wa biashara: luzwi na email kuwa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Je design ya tovuti yako ipo responsive(responsive design- mobile friendly website)? Fahamu kuwa idadi kubwa ya watumiaji mtandao wanatumia smart phones kuweza pata taarifa mbalimbali katika...
0 Reactions
1 Replies
723 Views
gari inaenda iringa leo tupu inarudi na mzigo. mwenye nzigo kutoka dar kwenda iringa garii hii hapa tani 10 kesho itaondoka tunduru to dar mwenye mzigo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Container tupu mbili zinauzwa 20 na 40 ft 0656582568
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni container 40ft ipo Mwanza mjini bei milioni 7. Kwa anaehitaji. Call 0742159555
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Natafuta laptop used ya kununua kama unayo nichek kwa simu no 0769323746 au 0621081842
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama Upo dsm na unafahamu au unauza projector nzuri na za kiwango cha juu njoo tufanye biashara. Nichek ktk no hiyo
1 Reactions
5 Replies
1K Views
ninauza viwanja vyenye ukubwa kuanzia metre 17.5 kwa 35 hadi heka 10 kwa bei ya mill 4 hadi 30 viwanja au Mashamba yanafaa kwa ujenzi wa Shule, Supermarket, Sheli, na makazi viwanja vinapatkana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu. Natafuta laptop iwe used ama mpya yenye RAM 4gb na hdd 500gb. Mwenye nayo ani pm kwa mazungumzo zaidi
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za mchakamchaka wa sikukuu Wanajamvi. Naombeni kueleweshwa kwa wale wajuvi. Wakati benki ya CRDB inaanzishwa ilikuwa ikitambulika kama Cooperative Rural Development Bank(Benki ya...
2 Reactions
56 Replies
9K Views
Ni Used LAPTOP. Aina yale ni Dell PC- inspiron 1525. RAM ni 2 GB, Rating yake ni 3.1 na Hard Disk ni 160 GB BEI = Tsh 170000/= Tu TATIZO LAKE = BETRI HALIKAI NA CHARGE HATA Sekunde...
0 Reactions
2 Replies
788 Views
IPhone 5s GB 16 Bei 470,000 GB 32 Bei 530,000 Simu with usb charger.. Very clean condition No exchange deals Serious buyers 0654766056
1 Reactions
3 Replies
891 Views
Toyota Ist. Habari jipatie magari mazuri kutoka Japan na ndani ya nchi,Kama hilo hapo juu lipo Japan gharama ya jumla ya kununua na kulisafirisha mpaka hapa nchini ni 5.5mil,utalipia mwenyewe...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Dell inauzwa haina tatizo lolote Ram 8GB,processor core i5 hard disk 1TB bei 400k nipo dar 0675990776
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Salaam wadau natafuta gari ya Kukodi kwa siku 7..gari yangu imepata shida na itakua tayari baada ya siku 7.Gari yoyote ndogo kama premio,vits,porte etc.Gari itatumika hapa Dar kutoka nyumbani...
0 Reactions
4 Replies
724 Views
Wadau naomba yeyote mwenye Shamba lenye ukubwa wa Kati ya 1 au 2 anifahamishe.Shamba lisiwe zaidi ya Mita 300 Kutoka Barabara iendayo Mwembe mdogo kuingia ndani.Napatikana Kwa namba 0752334403.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HABARI WANA JF HUSIKA NA KICHA CHA HABARI HAPO JUU. KIWANJA KINAUZWA Maeneo ya Mwanagati karibu na shule ya Mzinga English Medium. Umbali wa kilometa 7 kutoka Banana ( Nyerere Road ). Eneo...
1 Reactions
27 Replies
7K Views
Kitunda Magole(Kiwanja) Kitunda Magole, near Mwanagati. Umeme na Maji hapo hapo. 20 X 20 Miguu. 8.6Kms from Banana. 18.9Kms from Clock Tower. Bei: 6.0M
0 Reactions
2 Replies
3K Views
No simu mpya from USA Inaitwa blue studio selfie I google kwa specification zaidi Being 300,000Tsh 0673206639
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom