Wapendwa naomba msaada natafuta good location for coffee shop&restaurant business kwa mwenye conection na wamiliki wa shoping center,mall etc etc ani conect nahangaika mno namadalali bila...
Ndugu wana JF....... Nina kiwanja kinauzwa. Kipo Bunda, kata ya Balili na mtaa wa Balili.,
Kipo umbali wa 0.5KM toka barabara ya Mwanza Musoma mkono wa kulia ukiwa unatokea Mwanza kwenda Musoma...
Salaam wadau..nauza TV bei poa..nimeitumia kama miezi 2 tu..ni Super general inches 40 LED.Ina box lake.Bei laki 5.Karibuni sana.Kwa mawasiliano 0689900000
Kikundi cha ujasiriamali Viboko Deaf inapenda kukutangazia kwamba tunauza na kutengeneza viatu vya kimasai zenye ngozi halisi ngumu na bora kwa bei nafuu.
Bei
Rejareja Tsh 15,000/= hadi Tsh...
Habari wakuu naombeni kufahaamu juu ya hii simu kwani nataka kuinunua ikiwa mpya dukani pia naomba kufaham kwa dar ntapata sehem gani na pia kuhusu suala la bei je ubora wake na sifa zake ni zipi...
Jipatie mashine ya kichujia maji ambayo haitumii umeme ni rahis kutumia na ni salama kwa asilimia 100 kwa maana ina kipenyo cha micrometer cha 0.2 ambacho hakiruhusu bacteria wala uchafu wa...
One to one instructor for SPECIAL NEEDS kids now available in Dar.
Extensive experience in the field of special needs for more than 5 years.
Best qualifications and very professional.
Now...
Wadau,
Nina shida ya chumba cha kupanga self maeneo ya lindi mjini, au mitwero.Pia ikipatikana room mbili za pamoja zikijitegemea kwa umeme na choo nitashukuru.
Mwenye nacho au taarifa zaidi...
Wana jf tunaendelea na kupachika madirisga kwa bei nafuu.
Hii kazi ya mdau wa boko basihaya bronze 8cm kioo one way 5mm.
Unasubiri nini tuone infinity works tukufanyie kazi.
Asasi ya PDPR inauza na kukopesha vitotozi vya mayai ya kuku automatic na manual vya mafuta ya taa na umeme, mashine za kuchomelea, kufyatulia tofari, biogas plant (umeme wa choo) mizinga ya...
Bado tu unatumia free emails mf: jinaLaBiashara@gmail.com/yahoo.com na nyinginezo..
Kwanini usiwe na email binafsi kwajiri ya biashara yako? Mfano wa biashara: luzwi na email kuwa...
Je design ya tovuti yako ipo responsive(responsive design- mobile friendly website)?
Fahamu kuwa idadi kubwa ya watumiaji mtandao wanatumia smart phones kuweza pata taarifa mbalimbali katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.