Habari zenu wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyosema.
Simu ni Huawei Ascend P6
Ram 2 GB
Back Camera 8 MP
Front Camera 5MP
Coard Core 1.5 GHz Cortex A9
Simu iko katika hali nzuri kabisa. Nakupa...
PATA USAFIRI WA UHAKIKA KUTOKA KWA CORPORATE TOUR.
Katika kipindi hiki cha sikukuu Corporate Tour inakuletea usafiri bomba kwa ajili ya WEDDING, KITCHEN PARTY,SENDOFF na TOURS na sherehe...
Habari,
Natafuta simtank iliotumika but nzima yenye ujazo wa lita3000.
Muuzaji awe maeneo ya Dar es Salaam.
Nicheki inbox (pm) tuongee biashara.
Asante
Ndugu wana JF....... Nina kiwanja kinauzwa. Kipo Bunda, kata ya Balili na mtaa wa Balili.
Kipo umbali wa 0.5KM toka barabara ya Mwanza Musoma mkono wa kulia ukiwa unatokea Mwanza kwenda Musoma...
Ina vyumba vitatu, kimoja Ni master+choo cha public+Sebule+Dining Room+jiko+
+maji +fensi na Parking ya gari ndogo 5+luku inajitegemea
Ipo Kigamboni km 1 toka kwenye pantoni
Bei: Tsh. Laki 3.5...
jaman,samahanini sana.
kwa mwenye uzoefu wa bei za godoro la tanfoam 5×6 inchi 10
naomba anijuzee.
maana kabla mwaka haujaisha ,itabidi nijitahidi kupata godoro ya kulalia.
natangulisha shukran...
Nyumba inauzwa Mbezi msakuzi kwa milioni 80 maongezi nakaribisha, nyumba ina vyumba vitatu kimoja master, pia kuna kota ya mtumishi ya chumba na sebule, pia nyumba ina fance na ina exit mbili, kwa...
Wasalaam waleikhu na bwana asifie kwenu, natumaini nyote mnaendelea vizuri na shughuli za ujenzi wa Taifa letu hili.
Dhumuni la kuandika thread hii ni kupenda kuwatangazia umma kuwa nauza maeneo...
Mwenye kiwanja maeneo tajwa bajeti isizidi 8M ani pm. Kisiwe na mgogoro wala maeneo ya mabondeni, kiwe tambarare na angalau mita 25x25. NB: Gari iwe inafika bila shida yoyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.