Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

IPO katika hali nzuri, ina 4g camera ya 13mp,ina 16gb internal memory na 2gb ram kwa anaehitaji anitafute kwa namba 0625625463
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sharp32LED 3hdmi ports 1usb Vga port Ipo vizuri imetumika kwa miezi8 warrant yake bado 1yrs4months Ni PM kwa maongezi zaidi
0 Reactions
3 Replies
795 Views
Jiko linapangishwa liko kawe Ukwamani katika jengo jipya la Victoria IN, Jiko liko karibu na baklesa na ni jiko kubwa. bei maelewano. Unaweza kuwasiliana Na Mama yangu ktk namba ya simu 0754313304
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Kama nilivyokwisha tangulia kusema on heading kama kuna mtu mwenye nayo anitafute kwa namba 0659254488 au 0688624299
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyojieleza naomba kama unamfahamu dalali mzuri wa nyumba Mtwara mjini uniunganishe naye. Ahsante.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Rejea kichwa cha habari,kwa yeyote anayeona mbali. Karibu umiliki ardhi Dar,maeneo ya Mbezi Msumi, Unaweza fika kwa Kupitia Mbezi mwisho au Kurudia Mlimani City,via Changanyikeni na tena Njia za...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Imetumika miezi kadhaa ila bado ipo ktk ubora wake, kama inavyoonekana kwenye hzo picha hapo. Haina tatizo lolote wala kasoro yoyote na hili kudhibitisa nachosema unaruhusiwa kuikaguwa kadri...
1 Reactions
0 Replies
813 Views
Anahitajika pharmacist a degree holder wa kusimamia pharmacy iliopo Kigamboni mshahara maelewano Mawasiliano 0713214258
0 Reactions
2 Replies
877 Views
Jipatie mashine ya kichujia maji ambayo haitumii umeme ni rahis kutumia na ni salama kwa asilimia 100 kwa maana ina kipenyo cha micrometer cha 0.2 ambacho hakiruhusu bacteria wala uchafu wa...
0 Reactions
0 Replies
561 Views
Mambo vipi wadau nilikua naulizia kama kuna mtu anajua duka Linalouza drone kwa dar
0 Reactions
3 Replies
10K Views
House for rent: Three bedrooms one is master Two public toilets Wardrobes in all three bedrooms DAWASCO Water available plus reserve tanks of 1,2000 Ltrs Sharing compound - 2 apartments in one...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Hawa continental eti jamani wameshusha bei ya kingamuzi mpaka 26000? Na mwenye kujua bei ya vifurushi vya antenna pls
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu, Nataka nipate mashine inayofanya kazi ya i)Kuprint ii)Kuscan & iii)Kutoa copies, Pia iv)kuprint passport. Kuna ndugu kaniambia alisikia kuwa Epson LL220 iko vizuri kwa hizo functions...
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Tunsume Skills Training college inatoa mafunzo ya lugha (kiingereza, kifaransa na kiswahili) kwa wanaohitaji kujitayarisha kukabili ushindani ema katika soko la ajira ama soko la biashara ndani na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau habari za Wkend. Nahitaji Kiwanja ama pagala liwe Tabata Kimanga, Segerea, Mawenzi, Kisukuru ama Kinyerezi. Bajeti below 15 Mil. Eneo lisiwe kwenye mwinuko. Kwa aliye tayari aweke Eneo...
1 Reactions
1 Replies
593 Views
Salama wakuu. Naomba msaada kwa aliyepo Tanga. Natafuta kiwanja cha bei poa naeneo ya Majani Mapana. Ni eneo la kujenga nyumba ya kuishi. Msaada plz.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ile offer bado inaendelea kwa wale wote wahitaji wa viwanja kwaajil ya kujenga!! Wachache walio wahi wameshajipatia na kwa wengine bado hamjachelewa!! Viwanja vinapatikana CHATEMBO, Ni kilwa road...
1 Reactions
0 Replies
831 Views
Npo mangaka mtwara ,contact no: 0653219535
0 Reactions
0 Replies
499 Views
jinsi ya kupata ni kwa kuniuzia smartphone yako. aina samsung j2,j3,j5 au tecno phantom, c9 sonny xperia z3 ,z2 0673229342
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Vinauzwa vyote Kama vilivyo kwenye picha. Mashine mbili Sterilizer Viti vya kisasa Kiti cha kuoshea Kochi Mlango wa aluminum na picha zake Display ya ukutani ya ngazi mbili.
1 Reactions
4 Replies
9K Views
Back
Top Bottom