NATAFUTA chumba haraka sana.

NATAFUTA chumba haraka sana.

Man Mvua

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2016
Posts
2,179
Reaction score
3,525
Chumba kiwe Magomeni, kinondoni, ilala, tabata segerea au njia ya Tegeta. Bei yangu ni kuanzia 50-60 kodi miezi mitatu.
 
Duu ww Magomeni,ilala chumba 60 sjui 50 labda Bondeni jaribu kutafuta Tabata utapata toka leo asubuhi hii mwenyewe nenda Tabata Segerea pita kijiwe chochote ulizia uwepo wa madalali utapata ustengeneze msururu wa madalali
 
Chumba kiwe Magomeni, kinondoni, ilala, tabata segerea au njia ya Tegeta. Bei yangu ni kuanzia 50-60 kodi miezi mitatu.
Njia ya Tegeta ni PM sasa ivi tena utakuwa jirani yangu me sio dalali chumba ushapata nitakufanyia tu kiroho sayona kwavile we mwana JF mwenzangu.
 
Njia ya Tegeta ni PM sasa ivi tena utakuwa jirani yangu me sio dalali chumba ushapata nitakufanyia tu kiroho sayona kwavile we mwana JF mwenzangu.
Njia ya Tegeta naifahamu vizuri sana nambie sehemu gani?
 
Back
Top Bottom