Wakuu nina dawa ya kuacha vilevi vyote , natamani kuiuza ulaya, naombeni chanel

mbere

JF-Expert Member
Mar 5, 2015
6,967
6,465
Wakuu nimeshawapa watu wengi sana dawa yangu, natamani sasa ininufaishe
Wabongo wanalalamika sana ,
Mfano leo.kuna mtu aliniagiza dawa Arusha, nikatafuta mtu wangu akampelekea , kwanza nikapakia kwenye gari kwasababu nipo tanga , nikalia, sasa ipo hivi, kwa dozi ya kwanza tu matibabu yanaanza , kama ni sigara hawezi tena tumia jamaa anazingua eti adi amalize dozi ndo atalipa hela. Wakati kashaanza kuona impact so anataka nifate hela siku nyingine, jamaa kanikatisha tamaa sana.
Amenikatisha tamaa nikaamua kuagiza dawa isiachwe, kuna wabongo wanaboa sana
Natamani kuuza dawa ulaya
Naimbeni msaada, mwenye Chanel anisaidie Nina hakika nayo
 

Attachments

  • 1484916747341.png
    1484916747341.png
    128.3 KB · Views: 45
Wakuu nimeshawapa watu wengi sana dawa yangu, natamani sasa ininufaishe
Wabongo wanalalamika sana ,
Mfano leo.kuna mtu aliniagiza dawa Arusha, nikatafuta mtu wangu akampelekea , kwanza nikapakia kwenye gari kwasababu nipo tanga , nikalia, sasa ipo hivi, kwa dozi ya kwanza tu matibabu yanaanza , kama ni sigara hawezi tena tumia jamaa anazingua eti adi amalize dozi ndo atalipa hela. Wakati kashaanza kuona impact so anataka nifate hela siku nyingine, jamaa kanikatisha tamaa sana.
Amenikatisha tamaa nikaamua kuagiza dawa isiachwe, kuna wabongo wanaboa sana
Natamani kuuza dawa ulaya
Naimbeni msaada, mwenye Chanel anisaidie Nina hakika nayo
Vipi dawa hii imethibitishwa na mamlaka zetu kuwa ni salama na inafanya kazi?
Zipi ni ingredients Na una documents halali za kuithibitisha dawa hii.

Baada ya maswali hayo, Gharama ya dozi ikoje?
 
Vipi dawa hii imethibitishwa na mamlaka zetu kuwa ni salama na inafanya kazi?
Zipi ni ingredients Na una documents halali za kuithibitisha dawa hii.

Baada ya maswali hayo, Gharama ya dozi ikoje?
Mkuu ni dawa ya miti na kwa serikali yetu ukiifata kwa hili nao wanategemea mapato kwenye sigara na pombe wataniweka ndani miaka 70
 
Ulaya na Amerika kuna process refu mpaka dawa iruhusiwe kutumika. Vitu vikubwa wanaangalia ni
1. Usalama wa mtumiaji - yaani haina madhara au madhara yapo lakini si ya kutisha na yanajulikana na mtuamiaji ana tahadharishwa - mfano mwanamke anaenyonyesha au ana mimba naweza kutuamia, mtu mwenye ugonnjwa wa moyo n.k.
2. Je ni kweli inatibu kama inavyodaiwa ?

Haya yote yanachukuwa muda na pesa nyingi maana inabidi dawa ifanyiwe testi mbalimbali kwenye maabara zinazojulikana na wewe unatarajiwa kulipa hizo gharama.

Ikiwa kweli dawa yako inafanya kazi kama unavyodai basi mbona soko ni kubwa sana hapa nchini - waatu wangapi wanatafuta hii dawa. Hapa unaweza kupata mtaji mkubwa sana wa kuwezesha uirushe kimataifa. Fungua clinic ya matibabu haya anza kwenye mji mkubwa

Au tafuta mshirika wa kimataifa ambaye yuko tayari kugharamia kuipasisha na kutafuta soko kwa kumpa hisa.
 
Wakuu nimeshawapa watu wengi sana dawa yangu, natamani sasa ininufaishe
Wabongo wanalalamika sana ,
Mfano leo.kuna mtu aliniagiza dawa Arusha, nikatafuta mtu wangu akampelekea , kwanza nikapakia kwenye gari kwasababu nipo tanga , nikalia, sasa ipo hivi, kwa dozi ya kwanza tu matibabu yanaanza , kama ni sigara hawezi tena tumia jamaa anazingua eti adi amalize dozi ndo atalipa hela. Wakati kashaanza kuona impact so anataka nifate hela siku nyingine, jamaa kanikatisha tamaa sana.
Amenikatisha tamaa nikaamua kuagiza dawa isiachwe, kuna wabongo wanaboa sana
Natamani kuuza dawa ulaya
Naimbeni msaada, mwenye Chanel anisaidie Nina hakika nayo
Usikimbilie kwenye faida tengeneza kwanza msingi kwanza jina la dawa, namna ilivyo,packaging yake ipoje, kisha fuata taratibu za kisheria za TBS NA TFDA halafu na kile chama cha watengeneza dawa mbadala, baada ya hapo fungua ofisi hasa nakushauri uanzie Dar, wekeza kwenye matangazo hasa kwenye TV vipeperushi page za facebook na instagram tafuta mawakala mikoani, tafuta wasaidizi wa kutengeneza kupachage kutunza na kusambazia wateja acha kuomba ushauri hovyo
 
Mkuu hii dawa matumizi yake yanakuwaje? je kama nahitaji kumuwekea mtu bila yeye kujua inawezekana? au ndio zile zenye harufu kupita maelezo. Vipi kama mtumiaji atarudia pombe anaweza kupata madhara gani? Naomba majibu ya hayo baada ya haponicheki PM tufanye kazi walevi wengi sana huku.
 
Wakuu nimeshawapa watu wengi sana dawa yangu, natamani sasa ininufaishe
Wabongo wanalalamika sana ,
Mfano leo.kuna mtu aliniagiza dawa Arusha, nikatafuta mtu wangu akampelekea , kwanza nikapakia kwenye gari kwasababu nipo tanga , nikalia, sasa ipo hivi, kwa dozi ya kwanza tu matibabu yanaanza , kama ni sigara hawezi tena tumia jamaa anazingua eti adi amalize dozi ndo atalipa hela. Wakati kashaanza kuona impact so anataka nifate hela siku nyingine, jamaa kanikatisha tamaa sana.
Amenikatisha tamaa nikaamua kuagiza dawa isiachwe, kuna wabongo wanaboa sana
Natamani kuuza dawa ulaya
Naimbeni msaada, mwenye Chanel anisaidie Nina hakika nayo
TBL watakuu wewe!!...
 
Mkuu ni dawa ya miti na kwa serikali yetu ukiifata kwa hili nao wanategemea mapato kwenye sigara na pombe wataniweka ndani miaka 70
Kwa majibu Haya ndio maana hata huyo mteja ameomba amalize kwanza dozi.

Naomba ufanye analysis ya dawa yako halafu unipe majibu sahihi ya maswali niliyokuuliza hapo juu. Suala la dawa ni very sensitive and serious so try to be serious and accurate.

After there ndo tunaweza kwenda mbele.
 
Back
Top Bottom