mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,465
Wakuu nimeshawapa watu wengi sana dawa yangu, natamani sasa ininufaishe
Wabongo wanalalamika sana ,
Mfano leo.kuna mtu aliniagiza dawa Arusha, nikatafuta mtu wangu akampelekea , kwanza nikapakia kwenye gari kwasababu nipo tanga , nikalia, sasa ipo hivi, kwa dozi ya kwanza tu matibabu yanaanza , kama ni sigara hawezi tena tumia jamaa anazingua eti adi amalize dozi ndo atalipa hela. Wakati kashaanza kuona impact so anataka nifate hela siku nyingine, jamaa kanikatisha tamaa sana.
Amenikatisha tamaa nikaamua kuagiza dawa isiachwe, kuna wabongo wanaboa sana
Natamani kuuza dawa ulaya
Naimbeni msaada, mwenye Chanel anisaidie Nina hakika nayo
Wabongo wanalalamika sana ,
Mfano leo.kuna mtu aliniagiza dawa Arusha, nikatafuta mtu wangu akampelekea , kwanza nikapakia kwenye gari kwasababu nipo tanga , nikalia, sasa ipo hivi, kwa dozi ya kwanza tu matibabu yanaanza , kama ni sigara hawezi tena tumia jamaa anazingua eti adi amalize dozi ndo atalipa hela. Wakati kashaanza kuona impact so anataka nifate hela siku nyingine, jamaa kanikatisha tamaa sana.
Amenikatisha tamaa nikaamua kuagiza dawa isiachwe, kuna wabongo wanaboa sana
Natamani kuuza dawa ulaya
Naimbeni msaada, mwenye Chanel anisaidie Nina hakika nayo