Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

0 Reactions
8 Replies
946 Views
Salamu kwenu wakuu... Kwa wale wenye kujua bei ya bati hizi za rangi (almaaruf Msauzi) mita 3 gauge 30 zinauzwa kwa bei gani kwa pisi. kampuni mbalimbali from Dragon to Alaf. Na incase nataka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani Rock City Mall iliyoko Mwanza haina mfano, iko vizuri mno. Kuna ile super market ya TSN jamani utafikiri uko sijui marekani au ufaransa huduma zao na bidhaa huwezi amini kuwa uko Tanzania...
7 Reactions
99 Replies
20K Views
Habari zenu wanajamvi natafuta dispenser na fridge used nipo Dodoma simu:0764641481
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TechnologyGSM / HSPA / LTE2G bandsGSM 900 / 1800 - SIM 1 & SIM 23G bandsHSDPA 900 / 21004G bandsLTE band 3(1800), 40(2300)SpeedHSPA, LTE Cat4 150/50 MbpsGPRSYesEDGEYesLAUNCHAnnounced2015...
0 Reactions
57 Replies
6K Views
Nauza Vitenge vya Aina tofauti tofauti(Java,Duwanas,Hiterget) kwa bei ya 30,000/= na 35,000/= Kwa Dar ni free delivery popote ulipo Kwa mikoani Vitenge sita kuendelea usafiri ni bure. Na kama...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Kipo kigamboni mchikichini karibu na ghorofa za nssf. Kina miguu 20 kwa 40 bei tsh 5 milioni tu kwa mawasiliano 0714150727
0 Reactions
2 Replies
830 Views
Kuna kiwanja kinauzwa jirani mbezi Luis pr school, njia ya Goba unaingia Kama km 1 toka lami. 22*20m ni 12ml eneo lote limejengwa na nguzo ya umeme iko getini. Eneo limezungushwa nguzo na fencing...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UNAHITAJI KUSHINDA TENDA ZA GPSA? Sisi Kimi Dev Consult Ltd, ni wataalam na wazoefu wa KUANDAA TENDER DOCS za kazi mbalimbali: Huduma na Usambazaji bidhaa, kwa Wateja Serikali na taasisi zake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
USISAHAU KULIPA KODI KWA MAENDELEO YA NCHI YETU. Wadau ulimwengu huu wa kusaidiana KWA SISI WATANZANIA ,nipo chuo hapa ujeruman kwa sasa kama utahitaji chochote nikununulie toka hapa nitafanya...
7 Reactions
158 Replies
16K Views
Habari wanajamiiform kama kuna mtu ana vifaa vya saloon ya kike na hana pa kufanyia shuhuri yake kuna sehemu ipo wazi umeme upo na ni free haulipii ulinzi upo maana ni jeshini kodi elfu 30 tu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
bei 35000 tuu alie interested no 0715 715 385
1 Reactions
12 Replies
7K Views
Jipatie t shirts kali,zenye maneno atamu ya mapenzi kwa ajili ya mahusiano yako,kwa bei ya sh 15000 kwa moja. Piga simu namba 0621097301 kuweka order yako sasa.
0 Reactions
8 Replies
11K Views
habari ndugu watanzania wenzangu, nataka kununua sabufa au homu thieta yenye mdundo mkali,je ni aina gani nzuri na kiasi gani cha pesa?
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Mwenye kujua yanapopatikana maji ya MASAFI kwa maeneo ya dar kwa bei ya jumla LT 1 NA LT 1 NA NUSU kwa bei rahisi anijuze plz
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habarini wadau. Kama tangazo linavyojieleza nauza Samsung J3 kwa Tshs 250k Sababu ya kuuza ni kua m2 niliyemnunulia hajaipenda hivyo nahitaji kiasi kidogo niongeze ili ninunue simu nyingine...
0 Reactions
5 Replies
956 Views
Waungwana nahitaji msaada wenu wa kupata eneo /Frem kwa ajili ya biashara ya saluni ya kiume, Pia nahitaji vifaa vyote muhimu kwa ajili ya kuanza kazi hiyo. NOTE: Gharama za vifaa hivyo na eneo...
0 Reactions
2 Replies
614 Views
kiwanja kinauzwa metre 20*20 kipo metre 600 kutoka barabara kuu ya zMoshi Dar vipo viwili bei 5 mill kila kimoja mawasiliano 0658825141 0621068486 email bonifacekcharles@gmail.com
0 Reactions
2 Replies
1K Views
original 16gb memory card kwa 15,000Tsh tu piga 0673206639 uletewe.
0 Reactions
2 Replies
749 Views
Back
Top Bottom