VINAUZWA VINAUZWA

VINAUZWA VINAUZWA

Boniphace Bembele Ng'wita

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2013
Posts
3,562
Reaction score
1,969
Wakuu nauza TV ndogo ya tumbo, 18' seti moja ya sofa(yaan lenye watu 2 na 3, gasi ya mihan kubwa na jiko lake la kioo..

BEI
TV........ 80,000|=
Sofa.....200,000/=
Gasi na jiko 250,000/=

Kwa jumla 480000/=

Karibun wote...

Njoo pm ntakupa no.....
 
Kwanini matangazo ya furniture yamekuwa mengi ndani ya miezi hii miwili?
 
Mkuu uchumi mbaya, watt ada za shule, kodi za nyumba na mahitaji mengine, ukizingatia hauna kipato kingine mkuu
Nimekusoma mkuu, nikadhani unahama.....samahani kama nimekukwaza kwa namna yoyote.....aagh nimeshindwa hata kujiongeza!!![emoji30]
 
Back
Top Bottom