Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunatengeneza blog na website kwa bei nafuu kabisa Contact: 0746347805/0652920596
1 Reactions
1 Replies
657 Views
Wakuu kuna rafiki angu anatafuta pearls, huwa znapatikana maduka gani?! Msaada kwa mwenye idea
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Salam wadau...natafuta mtu wa kudesign na kuprint company profiles nzuri...contents zipo tayri kimebaki nice design na kuprint.Kwa mawasiliano nitext 0689900000
0 Reactions
3 Replies
849 Views
wakuu nataka kununua mabati so nilipenda kujua bei ya zile bati za kawaida geji 28! zauzwaje kiwandani
0 Reactions
12 Replies
32K Views
Wakuu nimekwama. Sina hata pesa ya kuendea kzini kesho. Nauza memory card ya simu 32gb. Ni original imekuja na simu. Bei 30,000/= Karibuni kokote uliko Dar nitakufikishia. Mrejesho: Kuna...
0 Reactions
52 Replies
5K Views
Kama unahitaji shamba nnalo nnauza milioni 12 kwa ekari 8 lipo mkuranga kwa mbele kidogo kijiji kinaitwa bupu unashuka kwenye daladala unatembea dk 10 upo shamba.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Size 37-41...vigumu na Imara..Elfu 20000...jumla elfu 15000...kuanzia pea tatu...Unaletewa ulipo bure kwa dar...Mikoani natuma pia...text or cal 0654729498
0 Reactions
0 Replies
558 Views
Nauza kiwanja eneo la Bagamoyo Kiromo, sio mbali na Barabara kuu ya Dar Bagamoyo, kama mita 400 hivi kutoka barabarani,,ni uwanja ukubwa wa robo heka,bei ni milioni tano ...kwa mtu mwenye kutaka...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
kwa mtu yeyote anaehitaji laini za tigo pesa na m pesa nauza zipo mbili, kwa mawasiliano zaidi 0655663443, bei ni maelewano
0 Reactions
8 Replies
915 Views
Toyota ist in a very good condition. Price only Tsh 7.5m Contact . 0767 761753
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kampuni ya Autoguru garage & workshop ni wataalamu wa kazi za Aluminium kama: Madirisha ya Aluminum Milango ya Aluminum Office partitioning kazi za PVC Stairs Rails Kwa mahitaji ya kazi hizo...
0 Reactions
0 Replies
633 Views
Kabati la vyombo nauza bei poa 180000 kama linavyoonekana ktk picha 0713055107 Lipo morogoro msamvu
0 Reactions
4 Replies
9K Views
http://jamiiforums.com/?refcode=103010
0 Reactions
0 Replies
718 Views
Samsung Galaxy A7 (2015) Duos Clean conditions 16GB Price: 530,000/= Contact: 0624091285
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunapatikana kunduchi line police Namba0627927909 Nikwajumla tu Ni kwa Tsh 4000 tu unaletewa mahali ulipo
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Noah ipo kwenye hali nzuri inakodishwa mwenye shida nayo tuwasiliane kupitia no 0754267585
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kampuni ya Autoguru garage & workshop ni watengenezaji imara wa magari na furniture za chuma kwa bei nafuu zaidi. Tunapatikana Kinondoni Manyanya opposite na msikiti wa Bakwata mtaa wa Brazil...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Core i5@2.5ghz 250gb HDD 4Gb ram dvd/RW,bluetooth,WIFI Price:450,000Tsh 0673206639
0 Reactions
7 Replies
901 Views
Habari wakuu. Nahitaji chumba cha kupanga Makumbusho ambacho kipo tayari hakihitaji kusubiria matengenezo. Kinahitajika kesho jumamosi na jumapili kiwe tayari kwa kukaliwa. Kisiwe mbali na...
0 Reactions
0 Replies
694 Views
Naulizia mahali mtu atapata hostel/chumba chenye kitanda na godoro maeneo tajwa. Ni kwa matumizi ya miezi michache, kama kuna anaejua naomba msaada.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom