Rafiki yangu anatafuta pearls

Rafiki yangu anatafuta pearls

nobody knows but me

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2016
Posts
525
Reaction score
362
Wakuu kuna rafiki angu anatafuta pearls, huwa znapatikana maduka gani?! Msaada kwa mwenye idea
cdd042dc24c3a587b5449604d25b3ba3.jpg
 
Zinapatikana kwenye maduka wanayouza vitambaa vya kushonea nguo za harusi na urembo wake ,tena vipo vya rangi tofaut
 
Pearl ni lulu, za asili zinatoka baharini kwenye chasa na za kutengeneza pia zipo.
Lulu zina thamani na mahali pekee nadhani unaweza kuzipata kwenye maduka makubwa yanao uza fashion/ mapambo ya wanawake ya dhahabu na almasi labda Mlimani au online.
Angalia pia kuna kutapeliwa kirahisi - lazima ujue ununue pahali panapo aminika sababu zinafanana sana na shanga kubwa
 
Pearl ni lulu, za asili zinatoka baharini kwenye chasa na za kutengeneza pia zipo.
Lulu zina thamani na mahali pekee nadhani unaweza kuzipata kwenye maduka makubwa yanao uza fashion/ mapambo ya wanawake ya dhahabu na almasi labda Mlimani au online.
Angalia pia kuna kutapeliwa kirahisi - lazima ujue ununue pahali panapo aminika sababu zinafanana sana na shanga kubwa
Asante mkuu kwa ufafanuzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom