ina maana watu hawajaliona hilo swali kuhusu mabati?
mada za msingi haupati wachangiaji,weka mada za tigo ndani ya dakika tu pages 3.
wakuu nataka kununua mabati so nilipenda kujua bei ya zile bati za kawaida geji 28! zauzwaje kiwandani
wakuu nataka kununua mabati so nilipenda kujua bei ya zile bati za kawaida geji 28! zauzwaje kiwandani
ina maana watu hawajaliona hilo swali kuhusu mabati?
Mabati ya migongo ya kawaida ya kijani, blue, na brick red kampuni ya Alaf gauge 30 huku yanauzwa mita moja sh 7500 hadi 7800. So kama unahitaji bati ya mita mbili au mbili na nusu au mita tatu fanya hesabu hapo. Pia nashauri kwa anayejenga ni bora kutumia bati zanye rangi kutoka kiwandani kuliko bati za kawaida kisha kuja kumlipa fundi kupanda juu kuzipondaponda na kupaka rangi ambazo hupauka haraka kutokana na uchanganyaji usiozingatia viwango.naombeni kujuzwa mabati yenye migongo ya kawaida ila ya rangi (kijani) ni shiling ngapi kwa bei ya kiwandani.
Asanteni
Mkuuu swali lako lina utata kidogo
Wataka bei ya mabati ya gauge 28 aina gani kati ya haya
1.ya kawaida simba ndumu
Kama ni simba ndumu bando lina 250000pc 12
2.kama yaliyopigwa rangi yanapatikana madukani gauge 30pc moja 25000 kama wataka 28unatoa oda kwa alaf au dragon mabati
3.kama ni mingongo mikubwa 35000
4.kama ya mfano wa decra pc 45000
Kama ni mabati ya mfano wa makarai ni 250000tsh kwa bando
Kama mtu tajiri ni kuanzia 25000 ,35000 ,45000
Zanta pitia huu uziMabati ya migongo ya kawaida ya kijani, blue, na brick red kampuni ya Alaf gauge 30 huku yanauzwa mita moja sh 7500 hadi 7800. So kama unahitaji bati ya mita mbili au mbili na nusu au mita tatu fanya hesabu hapo. Pia nashauri kwa anayejenga ni bora kutumia bati zanye rangi kutoka kiwandani kuliko bati za kawaida kisha kuja kumlipa fundi kupanda juu kuzipondaponda na kupaka rangi ambazo hupauka haraka kutokana na uchanganyaji usiozingatia viwango.