mkandumbwe
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 424
- 371
Wakuu nimekwama.
Sina hata pesa ya kuendea kzini kesho.
Nauza memory card ya simu 32gb. Ni original imekuja na simu. Bei 30,000/=
Karibuni kokote uliko Dar nitakufikishia.
Sina hata pesa ya kuendea kzini kesho.
Nauza memory card ya simu 32gb. Ni original imekuja na simu. Bei 30,000/=
Karibuni kokote uliko Dar nitakufikishia.
Mrejesho:
Kuna muungwana wendetta amenitumia 40000 bila hata ya kuchukua memory card. Shukrani nyingi sana zifike kwake kwa kunisaidia katika mkwamo huu.
Naahidi kurejesha haraka iwezekanavyo.
My take.....
Usife na tai shingoni yanapokushinda weka wazi waweza saidiwa.
Shukrani kwenu nyote pia.