Tunatoa huduma za hosting, tunauza domain na pia tunatengeneza Web Application, Android Application kwa gharama nafuu sana,
Tutembelee kwenye site yetu
[emoji117]www.yatosha.com
CONTACT US...
Ni apartment yenye vyumba viwili ikiwemo master bedroom! Jiko, sebule kubwa, family toilet na nafasi kubwa ya kupaki Gari ndani ya fence! Nyumba inapatikana Makongo juu Kwa kodi ya 450k kwa mwezi...
Habari kwenu wajasiliamali. Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Natafuta mabembea aina tatu kama ifuatavyo.....1. Bembea la kuninginia watoto watatu hadi watano kwa wakati. 2. La kuzunguka la...
Hapa kwenye hii ofisi nina mwaka mmoja tu, nilivyoajiriwa hapa niliwakuta wenzangu wengi wakiwa wanafanya kazi na wanaendelea na masomo, wengi walikuwa wanasoma diploma na degree. Mimi nilikuwa...
Kiwanja kinauzwa kipo kijichi kinaangalia mkondo wa bahari na kina 2000sqm na kina leseni ya makazi ( residential licence ) bei 40milion maongezi yapo....pm tufanye biashara
Wakuu nina milioni tano nataka gari mpya inayo endani na hela yangu ...kuna uwezekano wa kuipata wakuu. ...kwa hio hela..?
Msaada na ushauri PIA napokea wakuu...[emoji120]
we provide training in CISCO course such as Cisco Certified Network Associate(CCNA) & Cisco certified Network Professional (CCNP). We have a quality & effective CISCO laboratory which cover all...
Nauza viwanja vilivyopo dsm kongowe mwandege nyuma ya kuwanda cha bakhresa,CHATEMBO.
Ukubwa ft 50×50, na 50×40.
Bei ni mil.2 na nusu hadi mil.1 na nusu ( 2500000-1500000)
Maelezo n.k
0714775566...
Wakuu heshima zenu.
Kama thread inavyosema, nyumba ina sifa zifuatazo
-Vyumba vitatu, kimoja master
-Dinning, sitting room
-Jiko na choo cha jumuia
-Choo cha nje
-Ina sifa zingine, isipokuwa umeme...
Hai wana jamvi naomba msaada kwa mtu yyte mtaalam wa kuandika research proposal maji yamenifika shingon msaada pliz kwa wajuzi tutaongea ki utu uzima on dat project
Habar wadau kuna hawa jamaa wanajiita RM computer, wanauza computer za jumla, naomba kujua kama kuna anae wafahamu na wako wapi, nimeona stika kwenye computer ila haina mawasaliano.
Natafuta till ya airtel money iwe Moshi au Arusha iwe mpya au used active mwenye nayo anitumie SMS au Watsap 0757620622 (please usipige au unaweza nitumia text nikakupigia mwenyewe)
Bei/ dau ...
Jipatie viatu vya kimasai vyenye ubora kwa bei ya jumla sh. 13000 na rejareja 18000 pamoja na mikufu ya culturw kwa bei ya jumla ya 10000 tu pamoja na bidhaa nyingine nyingi
Ukiwa interested pm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.