Hydroponics formul for toma

Hydroponics formul for toma

Pascal paul

Member
Joined
May 24, 2016
Posts
33
Reaction score
8
ed7d07086c8f9cc2117bf500371f8f23.jpg
 
Jamani, kwa hiyo una assume kila mspmaji wa andiko lako anaelewa ulichoandika? heri usingeweka hili andiko, halisaidii wasomaji maana hakuna maelezo yoyote....wengine watesema hiyo ni wine...
 
Napend kusema hydroponic formula kama mnavyoona hapo juu hyo ndio picha ya package Jinsi ilivyo kwa nyanya pia hyo formula ya 4-18-38 nikiasi cha nutrients cha kama nitrogen phosphorus na magnesium iliyopo ndani ya hiyo plant food matumizi yake nikijiko kimoja kwa ltr 1 ya maji kwa mimea ambayo nimidogo
 
Vitu vya kuzingatia wakati wakuchanganya
1.hakikisha unatumia maji safi na salama yasiyo nikiasi kikubwa cha chumvi
2. Hakikisha nutrients zako mchanganyiko wake umechanganyika vizuri
3.pia uwe unbalance kama formula inavyoonyesha kwenye package
 
nadhani ulimaanisha Nitrogen Phosphorus Potassium kama sikosei
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom