HP laptop on sale..
Processor @1.80GHz intel
RAM 2gb
Hard disk 300
350000/= (negotiatable)
(Kila kitu kipo sawa isipokua kua up arrow na Down arrow ndo zimekufa)
+255759283908
Jamani nataka kununua gari ya kutembelea mimi shughuli zangu ni ndogo2 naipenda sana starlet au duet na nipe ubora wake kama starlet ila duet nackia spea ghari na hata kuna gari aina hizo ndogo2...
Ina vyumba vitatu. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa 400 sqmts. Kiwanja chake kina hati miliki. Ipo katika barabara kubwa inayoonganisha barabara mbili kubwa...New Bagamoyo road na Mwai kibaki...
Salaam.
Kuna mdau humu anaitwa Abdulwahad alikua ktika uzi kadhaa. Alikua anauza vifaa vya umeme i.e tv toka Zanzibar.
Ninahitaji tv ila sioni uzi zake zote.
Uko wapi Abdulwahad???
*IPHONE 7 PLUS*
*256GB*
*JET BLACK*
*SIMU TU*
*TSH :2,100,000.*
Iphone 6 (128gb) bei 950
Iphone 6+ (128gb) bei 1150000
Iphone 6+ (64gb) bei 1.1m
Iphone 6 plus fullbox bei
Kwa maelezo na picha...
HEBU JITAFAKARI JE UMEANDIKIWA KUISHI MAISHA UNAYOISHI SASA HUYU KAKA Anaitwa Hassim Orison Shayo,ni Senior manager wa Oriflame
alianza Oriflame tareh 6/6/2016 Yaani mwaka Jana.. Ana miezi...
Cc 2000
Insurance mpaka mwakan
Road lisence mpaka 10/03/2000
Haina tatizo lolote uko kama ilivo kwenye picha ilikua haitumiki sana toka imenunuliwa .
Ac inafanya kazi.
Cc 2000
Insurance mpaka...
Wakuu,
Naomba yeyote anayeuza au kujua mtu anayeuza Ng'ombe wa maziwa anayekamuliwa lita kuanzia 6 kwa mkamuo, naomba anitaarifu nahitaji ng'ombe wawili wa aina hiyo. Kama wakiwa jamii ya...
Huna haja ya kuwa na hofu na usalaama katika eneo lako la kazi au nyumbani kwako kutana na GS POWER LTD hawa ni wafungaji wa CCTV camera system,Fensi za umeme ,motor za kufungua geti automatic pia...
Habari nauza Diapers nzuri sana za watoto za kufua. Zipo kama zinavoonekana kwenye picha,muonekano mzuri.Diapers moja ni Tsh 22,000/= inakuwa moja pamoja na nappy(insert) yake moja. Ukihitaji...
Habari wakuu;
Hapa naongelea zile silver wanazopenda kuvaa dada zetu_
Pia na wale wanaume wanaojipenda na kwenda na wakat
Inshu sio silva iliyotengenezwa
Bali ni ule uchafu unaopatikana baada ya...
Kwa wale wenyeji wa wilaya ya Bunda hasa eneo la Bunda mjini au karibu na Bunda mjini nahitaji shamba au kiwanja Kwa ajili ya Makazi na kilimo,hata maeneo ya Nyamuswa sio Mbaya, msaada wenu tasavali.
Habari wakuu,
Nahitaji kujua ni wapi naweza kupata wanunuzi wa hizo mbegu tajwa hapo kutokana na umuhimu wake kwani imekuwa ikitumiwa kutengeneza bidhaa nyingi ikiwemo oil za magari, dawa...
Airtel acheni kutudanganya na mb 100 za YouTube bure. Inakera kuona kuona unadanganywa waziwazi maana tukiwa YouTube izo mb hazitumiki inatumika mobile data ya kawaida, tuomba mtueleze ukweli sio...