Nahitaji shamba/kiwanja Eneo la Bunda

Nahitaji shamba/kiwanja Eneo la Bunda

kiboksi manyoya

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2016
Posts
377
Reaction score
311
Kwa wale wenyeji wa wilaya ya Bunda hasa eneo la Bunda mjini au karibu na Bunda mjini nahitaji shamba au kiwanja Kwa ajili ya Makazi na kilimo,hata maeneo ya Nyamuswa sio Mbaya, msaada wenu tasavali.
 
0785718298....mchek huyo ana kiwanja pale uhakika
 
Back
Top Bottom