Mwenye gari aina toyota mark x nanunua

sulle my nem

Member
Feb 3, 2017
44
35
Yeyote mwenye gari aina tajwa hapo juu nahitaj kuinunua so kama unayo au mtu wa karibu na ww anayo basi njoo tufanye biashara...bei na picha yake ubaon kwanza
 
Yeyote mwenye gari aina tajwa hapo juu nahitaj kuinunua so kama unayo au mtu wa karibu na ww anayo basi njoo tufanye biashara...bei na picha yake ubaon kwanza
Yeyote mwenye gari aina tajwa hapo juu nahitaj kuinunua so kama unayo au mtu wa karibu na ww anayo basi njoo tufanye biashara...bei na picha yake ubaon kwanza
Mkuu hiyo gari inatumia mafuta kama jini. ...kama una gari mbadala bora ufanye hivyo. ..labda kama uko na ukwasi wa kueleweka
 
Hii hapa ya kurekebisha kidogo tu
 

Attachments

  • 1488887057985.jpg
    1488887057985.jpg
    133.1 KB · Views: 65
Mkuu hiyo gari inatumia mafuta kama jini. ...kama una gari mbadala bora ufanye hivyo. ..labda kama uko na ukwasi wa kueleweka
Wee kama unafikiriaa wese ni wewe tu....mwache mwenzako atumie chombo anacho kimudu....unataka atumie passo piston 3 au

OvA
 
Yeyote mwenye gari aina tajwa hapo juu nahitaj kuinunua so kama unayo au mtu wa karibu na ww anayo basi njoo tufanye biashara...bei na picha yake ubaon kwanza
Mln 14....iko sinza dar
Ukivutiwa nayo Ntaku link na mwenye gari
 

Attachments

  • IMG-20170304-WA0064.jpg
    IMG-20170304-WA0064.jpg
    74.9 KB · Views: 71
  • IMG-20170304-WA0065.jpg
    IMG-20170304-WA0065.jpg
    84.8 KB · Views: 66
  • IMG-20170304-WA0056.jpg
    IMG-20170304-WA0056.jpg
    70.9 KB · Views: 70
  • IMG-20170304-WA0058.jpg
    IMG-20170304-WA0058.jpg
    70.9 KB · Views: 64
Back
Top Bottom