Nahitaji kuchimbiwa bwawa la kufugia samaki

Nahitaji kuchimbiwa bwawa la kufugia samaki

Joined
Dec 23, 2016
Posts
19
Reaction score
7
Wakuu nimekuja kwenu kuomba mtu mwenye uwezo wakunichimbia bwawa la kufugia samaki na kulitengeza liwe tayari kwakuweka samaki naomba tuwasiliane kupitia 0756888861.nahitaji bwawa lenye uwezo wakufuga samaki kuanzia 12000 haad 15000 napatikana singida.pia karibu kwa ushauri maoni na nyongeza.
 
udongo ni wa mfinyazi apo kwenye eneo lako.ukiitaji vifaranga vya samaki sato na kambale unijulishe mkuu.kila la heri
 
udongo ni wa mfinyazi apo kwenye eneo lako.ukiitaji vifaranga vya samaki sato na kambale unijulishe mkuu.kila la heri

Mimi nahitaji vufaranga 1,000 vya kambale.
Unauzaje? Mimi niko Dar.
 
Wakuu nimekuja kwenu kuomba mtu mwenye uwezo wakunichimbia bwawa la kufugia samaki na kulitengeza liwe tayari kwakuweka samaki naomba tuwasiliane kupitia 0756888861.nahitaji bwawa lenye uwezo wakufuga samaki kuanzia 12000 haad 15000 napatikana singida.pia karibu kwa ushauri maoni na nyongeza.
+255716666801
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom